< Isaya 17 >
1 Tamko kuhusu Damaskasi.
Malheur accablant de Damas. Voilà que Damas cessera d’être une cité, et elle sera un monceau de pierres en ruines.
2 Miji ya Aroera itaharibiwa. Patakuwa na nafasi kwa ajili ya kutunzia mifugo, na hakuna hatakayeizuia.
Les cités d’Aroër seront abandonnées aux troupeaux, et ils s’y reposeront, et il n’y aura personne qui les effrayera.
3 Miji ilioachwa itatoweka kutoka Efraimu, ufalme katuka Damskasi, na walobaki Aramu-watakuwa kama utukufu wa watu wa Israeli-Hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
Et le soutien manquera à Ephraïm et le règne à Damas; et les restes de la Syrie seront comme la gloire des fils d’Israël,
4 Itakuwa siku hiyo utukufu wa Yakobo utapungua, utakuwa mwembamba na kunona kwa mwili wake utapungua.
Et il arrivera en ce jour-là que la gloire de Jacob sera atténuée, et que la graisse de sa chair se desséchera.
5 Itakuwa kama mvuna ikusanyavyo mavuno, na mkono wake huvuna maganda ya mazao. Itakuwa kama mtu atoae maganda ya mavuno katika bonde la Refaimu.
Et il sera comme celui qui ramasse dans la moisson ce qui est resté, et son bras recueillera des épis; et il sera comme celui qui cherche des épis dans la vallée de Raphaïm.
6 Masalia yataachwa, hata hivyo, mti wa mzabibu utatingishwa: Mizeituni miwili au mitatu iliyo juu sana matawi yake yako juu, manne au matano katka tawi la juu katika mti unaozaa-hili ni tamko la Yahwe, Mungu wa Israeli.
Et il y sera laissé seulement comme une grappe de raisin, et comme, lorsqu’on secoue un olivier, son fruit restant sera de deux ou trois olives au sommet d’une branche, ou bien de quatre ou de cinq à ses cimes, dit le Seigneur Dieu d’Israël.
7 Siku hiyo watu watawangalia Muumba wake, na macho yatamuangalia Mtakatifu wa Israeli.
En ce jour-là l’homme s’inclinera vers son Créateur, et ses yeux regarderont du côté du saint d’Israël.
8 Hawatangalia madhabahu, kazi za mikono yao, wala hataangalia kile kinachofanywa na vidole vyao, nguzo za Ashera na picha ya jua.
Et il ne s’inclinera pas du côté des autels qu’ont faits ses mains; et ce qu’ont façonné ses doigts, les bois sacrés et les temples, il ne les regardera pas.
9 Siku hiyo miji yenye nguvu itakuwa kama msitu uliotelekezwa na juu ya kilele cha mlima, na palipo achwa kwa sababu ya wana wa Israeli patakuwa ukiwa.
En ce jour-là, ses cités les plus fortes seront abandonnées comme les charrues et les moissons qui furent abandonnées à la vue des fils d’Israël; et tu seras déserte.
10 Maana mmemsahau Mungu wa wakovu wenu, na umeudharau mwamba wa nguvu zako. Hivyo basi umeotesha miti mizuri, na mizabibu mizuri iliyotoka ugenini,
Parce que tu as oublié le Dieu ton sauveur, et que de ton puissant secours tu ne t’es pas souvenue; c’est pour cela que tu planteras du bon plant, et que tu sèmeras une semence étrangère.
11 Siku hiyo uliootesha na fensi na kulima. Mbegu zako zitaota mapema na kukua, lakini mavuno yatashindikana siku hiyo itakuwa huzuni na kukata tamaa.
Au jour de ta plantation c’était une vigne sauvage, et dès le matin ta semence fleurira; la moisson a été enlevée au jour de l’héritage, et tu en éprouveras une douleur grave.
12 Ole! Watu wenye ghasia, Kishindo chake ni kama mngurumo wa bahari, na kasi ya mataifa, wananguruma kama ngurumo ya maji mengi!
Malheur à la multitude de peuples nombreux; elle est comme la multitude des flots d’une mer mugissante; et le tumulte des troupes, comme le bruit des grandes eaux.
13 Mataifa yataunguruma kama maji mengi yaendao kasi, lakini Mungu atawakemea.
Des peuples feront un bruit, comme le bruit des eaux qui débordent, et il le menacera, et il fuira au loin; et il sera emporté comme la poussière des montagnes à la face du vent, et comme un tourbillon devant la tempête.
14 Watakimbia mbali sana na watafukuzwa kama pumba kwenye mlima mbele ya upepo, kama mavumbi yazungukayo kwenye dhoruba. Wakati wa usiku, ona, hofu! Na kabla ya alfajiri watakwenda; hili ndilo eneo la wale waliotupora, na wale wanaotunyang'anya mali zetu.
Il sera au temps du soir, et voici le trouble, au temps du matin, et il n’existera plus, voilà la part de ceux qui nous ont dévastés, et le sort de ceux qui nous ont pillés.