< Isaya 16 >

1 Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
Envía los corderos para el gobernante de la tierra de Selah al desierto, al monte de la hija de Sion.
2 Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
Porque será que como aves errantes, como nido disperso, así serán las hijas de Moab en los vados del Arnón.
3 Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
¡Consejen! ¡Ejecuta la justicia! ¡Haz tu sombra como la noche en medio del mediodía! ¡Esconde a los desterrados! ¡No traiciones al fugitivo!
4 Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
¡Deja que mis desterrados habiten contigo! En cuanto a Moab, sé un escondite para él de la cara del destructor. Porque el extorsionador es llevado a la nada. La destrucción cesa. Los opresores son consumidos fuera de la tierra.
5 Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
Un trono será establecido en la bondad amorosa. Uno se sentará en él en la verdad, en la tienda de David, juzgando, buscando la justicia, y rápido para hacer la justicia.
6 Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
Hemos oído hablar de la soberbia de Moab, que es muy orgulloso; incluso de su arrogancia, su orgullo y su ira. Sus jactancias no son nada.
7 Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
Por eso Moab se lamentará por Moab. Todos se lamentarán. Se lamentarán por las tortas de pasas de Kir Hareseth, totalmente golpeadas.
8 Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
Porque los campos de Hesbón languidecen con la vid de Sibma. Los señores de las naciones han derribado sus ramas selectas, que llegaban hasta Jazer, que se desviaban hacia el desierto. Sus sarmientos se extendieron por doquier. Pasaron por encima del mar.
9 Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
Por eso lloraré con el llanto de Jazer por la vid de Sibma. Te regaré con mis lágrimas, Hesbón y Elealeh; porque sobre tus frutos de verano y sobre tu cosecha ha caído el grito de guerra.
10 Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
Se ha quitado la alegría y el júbilo del campo fructífero; y en las viñas no habrá canto, ni ruido alegre. Nadie pisará el vino en los lagares. He hecho cesar los gritos.
11 Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
Por eso mi corazón suena como un arpa por Moab, y mis entrañas por Kir Heres.
12 Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
Sucederá que cuando Moab se presente, cuando se canse en el lugar alto y venga a su santuario a orar, no prevalecerá.
13 Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
Esta es la palabra que Yahvé habló sobre Moab en el pasado.
14 Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.
Pero ahora Yahvé ha hablado, diciendo: “Dentro de tres años, como los contaría un obrero obligado por contrato, la gloria de Moab será despreciada, con toda su gran multitud; y el remanente será muy pequeño y débil.”

< Isaya 16 >