< Isaya 16 >
1 Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
Envoyez, Seigneur, l’agneau dominateur de la terre, de la Pierre du désert à la montagne de la fille de Sion.
2 Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
Et il arrivera que, comme un oiseau qui fuit, et des petits qui s’envolent du nid, ainsi seront les filles de Moab au passage de l’Arnon.
3 Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
Prends conseil, convoque une assemblée; fais comme une nuit de ton ombre en plein midi; cache ceux qui fuient; et les errants, ne les trahis pas.
4 Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
Mes fugitifs habiteront chez toi; Moab, sois leur retraite contre le dévastateur; car la poussière a trouvé sa fin, le misérable a été consumé; il a défailli, celui qui foulait aux pieds la terre.
5 Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
Et dans la miséricorde sera préparé un trône, et il s’y assiéra dans la vérité, dans le tabernacle de David, un roi jugeant, et recherchant ce qui est juste, et rendant une prompte justice.
6 Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
Nous avons appris l’orgueil de Moab; ce peuple est très orgueilleux; et son orgueil, et son arrogance, et sa fureur, sont plus grands que sa puissance.
7 Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
C’est pour cela que Moab hurlera à Moab; tous hurleront; à ceux qui se réjouissent sur leurs murailles de briques cuites au feu, annoncez leurs plaies.
8 Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
Parce que les faubourgs d’Hésébon sont déserts, et que les maîtres des nations ont coupé la vigne de Sabama; ses jeunes branches sont parvenues jusqu’à Jazer; elles se sont répandues çà et là dans le désert; ses rejetons ont été laissés, ils ont passé au-delà de la mer.
9 Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
À cause de cela, je pleurerai du pleur de Jazer, la vigne de Sabama, je vous enivrerai de mes larmes, Hésébon et Eléalé, parce que sur votre vendange et sur votre moisson est tombée la voix de ceux qui les ont foulées aux pieds.
10 Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
Et la joie et l’exultation seront enlevées du Carmel, et dans les vignes on n’exultera ni on ne jubilera; il ne foulera pas le vin dans le pressoir, celui qui avait coutume de le fouler; j’ai ôté la voix de ceux qui foulaient.
11 Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
À cause de cela, le fond de mon cœur retentira sur Moab, comme la harpe, et mes entrailles sur le mur de briques cuites au feu.
12 Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
Et il arrivera que, lorsque Moab aura vu qu’il s’est fatigué sur ses hauts lieux, il entrera dans son sanctuaire afin de prier instamment, et qu’il ne pourra rien.
13 Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
C’est la parole qu’a dite le Seigneur à Moab anciennement;
14 Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.
Et maintenant le Seigneur a parlé, disant: Dans trois ans, comptés comme les années d’un mercenaire, la gloire de Moab sera enlevée avec tout son peuple nombreux; et il sera laissé petit et faible, et nullement nombreux.