< Isaya 16 >

1 Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
[The rulers of Moab will say to each other, ] “We must send some [lambs] from Sela [city] as a gift to the ruler of Judah [to persuade him to not allow his army to attack us any more]. We should send them through the desert to the king.
2 Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
The women of Moab will be left alone at the (fords of/places where people can walk across) the Arnon [River]; they will be like [SIM] birds that have been pushed out of their nests.
3 Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
They will cry out, ‘Help us! Tell us what we should do! Protect us completely [MET], we who are running away [from our enemies], and do not (betray us/tell our enemies where we are).
4 Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
Allow [those of us] who are fleeing from Moab to stay with you; hide/protect us from [our enemies who want to] destroy us!’ [Some day] there will be no one to oppress us, and our enemies will stop destroying [our land].
5 Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
Then [Yahweh] will appoint someone to be king who will be [a descendant of King] David. As he rules [MTY], he will be merciful and truthful. He will always do what is fair/just and quickly do what is righteous.”
6 Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
We [people of Judah] have heard about [the people of] Moab; we have heard that they are very proud and conceited [DOU]; they are insolent, but what they proudly say about themselves is not true.
7 Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
[Some day all the people in] Moab will weep. They will all mourn, because [there will be no more] raisin cakes in Kir-Hareseth [city].
8 Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
The [crops in] the fields at Heshbon [city] will wither, and the vineyards at Sibmah [town] will wither also. The armies of [other] nations will destroy Moab, which is [like] [MET] a beautiful grapevine whose branches spread [north] to Jazer [town] and [east] to the desert. Its branches spread very far [west], to the west side of the [Dead] Sea.
9 Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
So I will weep for Jazer and for the grapevines of Sibmah. I will shed tears for all of you. I will cry because people will no longer shout joyfully, like they usually do when they gather the fruit that ripens in the (summer/hot season) and the other crops that they harvest.
10 Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
People will no longer be glad at harvest time. No one will sing in the vineyards, no one will shout joyfully. No one will tread on grapes [to get grape juice for wine]; there will be nothing to shout about [joyfully].
11 Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
I cry inwardly for Moab; my groaning is like [SIM] [a sad song played on] a harp. I am sad about Kir-Hareseth.
12 Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
[The people of] Moab will go and pray at their sacred shrines, but that will not help them. They will cry out to their gods in their temples, [but] none of them will be able to rescue the people.
13 Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
Yahweh has already spoken those things about Moab.
14 Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.
But now he says that exactly three years from now, he will destroy all the things that [the people of] Moab have been proud of. Even though they have a huge number of people in Moab now, only a few people will remain alive, and they will be weak/helpless.

< Isaya 16 >