< Isaya 16 >

1 Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
O Lord, send forth the Lamb, the Ruler of the earth, from the Rock of the desert to the mountain of the daughter of Zion.
2 Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
And this shall be: like a bird fleeing away, and like fledglings flying from the nest, so will the daughters of Moab be at the passage of Arnon.
3 Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
Form a plan. Call a council. Let your shadow be as if it were night, even at midday. Conceal the fugitives, and do not betray the wanderers.
4 Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
My fugitives will live with you. Become a hiding place, O Moab, from the face of the destroyer. For the dust is at its end; the miserable one has been consumed. He who trampled the earth has failed.
5 Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
And a throne will be prepared in mercy, and One shall sit upon it in truth, in the tabernacle of David, judging and seeking judgment, and quickly repaying what is just.
6 Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
We have heard of the pride of Moab; he is very proud. His pride and his arrogance and his indignation is more than his strength.
7 Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
For this reason, Moab will wail to Moab; each one will wail. Speak of their wounds to those who rejoice upon the brick walls.
8 Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
For the suburbs of Heshbon are deserted, and the lords of the Gentiles have cut down the vineyard of Sibmah. Its vines have arrived even at Jazer. They have wandered in the desert. Its seedlings have been abandoned. They have crossed over the sea.
9 Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
I will weep with the tears of Jazer over this, the vineyard of Sibmah. I will inebriate you with my tears, Heshbon and Elealeh! For the sound of those who trample has rushed over your vintage and over your harvest.
10 Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
And so, rejoicing and exultation will be taken away from Carmel, and there will be no jubilation or exultation in the vineyards. He who was accustomed to tread will not tread out the wine in the winepress. I have taken away the sound of those who tread.
11 Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
Over this, my heart will resonate like a harp for Moab, and my inner most being for the brick wall.
12 Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
And this shall be: when it is seen that Moab has struggled upon his high places, he will enter his holy places to pray, but he will not prevail.
13 Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
This is the word that the Lord has spoken to Moab concerning that time.
14 Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.
And now the Lord has spoken, saying: In three years, like the years of a hired hand, the glory of Moab concerning the entire multitude of the people will be taken away, and what is left behind will be small and weak and not so numerous.

< Isaya 16 >