< Isaya 15 >

1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
این است پیغام خدا برای سرزمین موآب: شهرهای عار و قیرِ موآب در یک شب ویران می‌شوند.
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
در دیبون قوم عزادار موآب به بتخانه‌ها پناه می‌برند تا برای شهرهای نبو و میدبا گریه کنند. همهٔ مردم موی سر و ریش خود را تراشیده،
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
لباس عزا پوشیده‌اند و در کوچه‌ها راه می‌روند. از هر خانه‌ای صدای شیون و زاری بلند است.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
صدای گریهٔ شهرهای حشبون و العاله تا یاهص نیز شنیده می‌شود. حتی جنگاوران موآب نیز ناله می‌کنند و از شدت ترس می‌لرزند.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
دلم برای موآب نالان است. مردم موآب به صوغر و عجلت شلشیا فرار می‌کنند؛ با گریه از گردنهٔ لوحیت بالا می‌روند؛ صدای نالهٔ ایشان در طول راه حورونایم به گوش می‌رسد.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
رودخانهٔ نمریم خشک شده است! علف سرسبز کنار رودخانه‌ها پلاسیده و نهالها از بین رفته‌اند.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
مردم اندوختهٔ خود را برمی‌دارند تا از راه درهٔ بیدها فرار کنند.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
شیون موآب در مرزهای آن طنین افکنده است و صدای زاری آن تا به اجلایم و بئرایلیم رسیده است.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
رودخانهٔ دیمون از خون سرخ شده است، ولی خدا باز هم اهالی دیمون را مجازات خواهد کرد. بازماندگان و فراریان موآب نیز جان به در نخواهند برد و طعمهٔ شیر خواهند شد.

< Isaya 15 >