< Isaya 15 >
1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
Malheur accablant de Moab. Parce que pendant la nuit Ar a été dévastée, Moab s’est tu; parce que pendant la nuit a été détruit le mur, Moab s’est tu.
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
La maison et Dibon sont montées sur les hauts lieux pour pleurer sur Nabo et sur Médaba; Moab a poussé des hurlements; sur toutes les têtes sera la calvitie, et toute barbe sera rasée.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
Dans ses rues ils ont été vêtus de sacs; sur ses toits tout hurlement est descendu dans le pleur.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
Hésébon et Eléalé crieront; jusqu’à Jasa leur voix a été entendue; à cause de cela les vaillant de Moab hurleront; et son âme hurlera pour elle-même.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
Mon cœur pour Moab criera; ses verrous se feront entendre jusqu’à Ségor, génisse de trois ans; car par la montée de Luith ils monteront en pleurant, et dans la voix d’Oronaïm ils élèveront le cri d’une douleur déchirante.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
Car les eaux de Nemrim deviendront un désert, parce que l’herbe s’est desséchée, que le bourgeon a manqué et que toute verdure a péri.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Selon la grandeur de leurs œuvres, tel sera leur châtiment; au torrent des saules on les conduira.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
Parce que le cri parcourra la frontière de Moab; jusqu’à Gallim ira son hurlement, jusqu’au Puits d’Elim son cri.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
Parce que les eaux de Dibon ont été remplies de sang; car j’enverrai sur Dibon un surcroît de châtiment; à ceux qui fuiront de Moab et aux restes de cette terre, un lion.