< Isaya 15 >
1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
Ennustus Mooabista. Hävityksen yönä tuhoutuu Aar-Mooab; hävityksen yönä tuhoutuu Kiir-Mooab.
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
Bait ja Diibon nousevat uhrikukkuloille itkemään, Nebolla ja Meedebassa Mooab valittaa; kaikki päät ovat paljaiksi ajellut, kaikki parrat ovat leikatut.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
Kaduilla he kääriytyvät säkkeihin, katoilla ja toreilla kaikki valittavat, menehtyvät itkuun.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
Hesbon ja Elale huutavat; Jahaaseen asti kuuluu niiden parku. Sentähden Mooabin varustetut miehet vaikeroivat, sen sielu vapisee.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
Minun sydämeni huutaa Mooabin tähden; sen pakolaisia on aina Sooariin, aina Eglat-Selisijjaan asti. Luuhitin solatietä he nousevat itkien, Hooronaimin tiellä he puhkeavat parkuun hävityksen tähden.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
Nimrimin vedet ehtyvät erämaaksi, heinä kuivuu, ruoho lakastuu, vihantaa ei ole.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Sentähden he kantavat hankkimansa säästön ja tallettamansa tavaran Pajupuron yli.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
Parku kiertää Mooabin rajoja, valitus kuuluu Eglaimiin asti, valitus Beer-Eelimiin asti.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
Sillä Diimonin vedet ovat verta täynnä, ja vielä muutakin minä tuotan Diimonille: leijonan Mooabin pelastettujen ja maahan jääneitten kimppuun.