< Isaya 15 >
1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
The doom of Moab. Truly in a night is 'Ar of Moab plundered, it is laid waste; truly in a night is Kir of Moab plundered, it is laid waste.
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
It goeth up to the [idol-]house, and Dibon [goeth] up to the high-places to weep, on Nebo and on Medeba shall Moab wail: on all its heads there is baldness, and every beard is hewn off.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
In its streets they are girded with sack-cloth, on its roofs, and in its public places every one shall wail, groan with weeping.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
And loud crieth Cheshbon with El'aleh; as far as Yahaz is heard their voice: therefore the armed men of Moab shall howl; its soul is grieved for itself.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
My heart will cry for Moab, whose fugitives are as far as Zo'ar, [and] the third 'Eglarth; for the ascent of Luchith—with weeping is it ascended; for on the way to Choronayim they let resound the cry of defeat [in battle].
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
For the waters of Nimrim shall be desolate; for dry is the grass, gone are the herbs, and green things are no more.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Therefore the rest of their acquisitions and what they possess shall they carry away over the brook of the willows.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
For the cry hath encompassed the boundary of Moab; up to Eglayim [is heard] its wail, and at Beer-elim [is heard] its wail.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
For the waters of Dimon are filled with blood; for I will bring over Dimon armed bands; over the escaped of Moab [cometh] a lion, and over the remnant of the land.