< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
Jo Tas Kungs apžēlosies par Jēkabu un atkal izredzēs Israēli un tos pārvedīs savā zemē. Un svešinieki ar tiem biedrosies un pieķersies Jēkaba namam.
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
Un tautas tos ņems un vadīs uz viņu vietām, un Israēla nams Tā Kunga zemē tos iemantos par kalpiem un kalponēm, un tie tos turēs cietumā, kas viņus bija cietumā turējuši, un valdīs par saviem dzinējiem.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
Un notiks tai dienā, kad Tas Kungs tev dusu dos no tavām sāpēm un no tavām izbailēm un no tās grūtās kalpošanas, ar ko tie tevi kalpinājuši,
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
Tad tu šo dziesmu dziedāsi pret Bābeles ķēniņu un sacīsi: Kā tas dzinējs pagalam! Kā tie spaidi pagalam!
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
Tas Kungs bezdievīgiem salauzis zizli, valdītājiem rīksti,
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
Kas ļaudis briesmīgi mocīja ar mokām bez mitēšanās, kas ar bardzību valdīja pār tautām, ar spaidīšanu bez gala.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
Visa zeme dus un atpūšas, tā skanēt skan no gavilēšanas.
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
Un priedes priecājās par tevi un ciedru koki uz Lībanus (un saka): kamēr tu guli pie zemes, neviens nenāk, mūs nocirst.
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Elle apakšā tevis dēļ rīb, tev pretim ejot; kad tu nāci, viņa tevis dēļ uzmodina mirušos, visus zemes lielkungus, viņa visiem tautu ķēniņiem liek celties no krēsliem. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
Tie visi runā un saka uz tevi: arī tu esi palicis bez spēka tā kā mēs, tu mums palicis līdzīgs.
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Tava greznība nogrimusi ellē un tavu kokļu skaņa; kodes būs tavas cisas, un tārpi tavs apsegs. (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
Kā tu esi kritis no debesīm, tu rīta zvaigzne, tu ausekļa dēls! Kā tu nocirsts zemē, kas tautas pārvarēji?
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
Un tu sacīji savā sirdī: es uzkāpšu debesīs, es paaugstināšu savu goda krēslu pār Dieva zvaigznēm, es apsēdīšos uz saiešanas kalna ziemeļu galā,
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
Es uzkāpšu padebešu kalnos, tam Visuaugstajam es līdzināšos.
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Tiešām, ellē tu esi nogāzts, pašā bedres dziļumā. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
Kas tevi redz, tie uz tevi skatās un tevi aplūko: vai šis tas vīrs, kas zemi kustināja un darīja valstis drebam.
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
Kas pasauli pārvērta par tuksnesi un viņas pilsētas postīja, kas viņas ļaudis no cietuma neatlaida mājās?
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
Visi tautu ķēniņi, tie visi guļ zemē ar godu, ikviens savā namā.
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
Bet tu esi tālu atmests no sava kapa, kā nieka žagars, apklāts ar nokautiem, zobena nodurtiem, kas grimst akmeņu bedrē, - tā kā samīta maita.
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
Ar viņiem kopā tu nebūsi kapā; jo savu zemi tu esi postījis un nokāvis savus ļaudis; ļauna darītāju dzimums netiks pieminēts mūžīgi.
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Taisāties kaut viņa bērnus viņu tēvu nozieguma dēļ, ka tie neceļas un zemi neiemanto un nepiepilda pasauli ar pilsētām.
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
Jo Es celšos pret tiem, saka Tas Kungs Cebaot, un izdeldēšu no Bābeles vārdu un dzimumu un bērnu un bērna bērnu, saka Tas Kungs.
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
Un Es to došu par īpašumu ežiem un par ūdens purvu, un Es tos izmēzīšu ar izdeldēšanas slotu, saka Tas Kungs Cebaot.
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
Tas Kungs Cebaot ir zvērējis un sacījis: tiešām, kā Es esmu nodomājis, tā notiks, un kā Es esmu nospriedis, tā būs,
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
Ka Es Asuru satriekšu Savā zemē, un uz Saviem kalniem viņu samīdīšu, ka viņa jūgs no tiem top atņemts un viņa nasta zūd no viņu pleciem.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
Šis ir tas padoms, kas nospriests pār visu zemi, un šī ir tā roka, kas izstiepta pār visām tautām.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
Jo Tas Kungs Cebaot to nodomājis; kas to iznīcinās? Un Viņa roka ir izstiepta, kas to novērsīs?
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
Tai gadā, kad ķēniņš Ahazs nomira, notika šis spriedums:
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
Nepriecājies, visa Fīlistu zeme, ka tā rīkste salauzta, kas tevi sita. Jo no čūskas saknes nāk odze, un viņas auglis būs spārnains pūķis.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
Jo visupēdīgie nabagi baudīs pilnību, un tukšinieki apgulsies ar mieru. Bet tavu sakni Es nokaušu caur badu, un tavus atlikušos viņš kaus zemē.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Kauciet, vārti! Kliedz, pilsēta! Izkūsti, visa Fīlistu zeme! Jo no ziemeļa puses nāk dūmi, un neviens no viņa pulkiem nenoklīst.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
Un ko tad atbildēs tautu vēstnešiem? Ka Tas Kungs Ciānu stiprinājis un Viņa ļaužu bēdīgie tur atrod patvērumu.

< Isaya 14 >