< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
Le moment arrive, et il ne tardera point, où le Seigneur aura pitié de Jacob, où Israël sera encore son élu; alors ils reposeront dans leur terre, et l'étranger viendra se joindre à eux, et s'unira à la maison de Jacob,
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
Et les Gentils se les adjoindront et ils les introduiront dans leur pays; et les enfants d'Israël auront leur héritage, et y multiplieront leurs serviteurs et leurs servantes; et ceux qui les avaient tenus captifs seront leurs captifs à leur tour, et ceux qui les avaient dominés seront dominés par eux.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
Et voici ce qui arrivera en ce jour: le Seigneur apaisera ta douleur, et ton humiliation, et la dure servitude à laquelle ils t'avaient assujetti.
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
Et tu composeras cette lamentation sur le roi de Babylone: Comment est mort cet exacteur? Comment est mort ce maître impitoyable?
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
Le Seigneur a brisé le joug des impies, le joug des dominateurs.
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
Il a frappé avec colère cette nation d'une plaie incurable, puis il l'a renversée dans sa colère et ne l'a point épargnée.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
Et toute la terre s'est reposée avec confiance et a poussé des cris de joie;
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
Et les arbres du Liban se sont réjouis de ta chute; et le cèdre du Liban, depuis que tu es mort, dit: Celui qui nous abattait ne monte plus ici!
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
L'enfer en ses abîmes s'est troublé à ton approche; et ils se sont levés ensemble contre toi, tous les géants, jadis princes de la terre, qui faisaient descendre de leurs trônes tous les rois des nations. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
Ils te parleront tous et te diront: Te voilà pris comme nous, et te voilà l'un des nôtres!
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Ta gloire et ta longue prospérité sont descendues aux enfers; la pourriture est ta couche, les vers ta couverture. (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
Comment est tombée des cieux l'étoile du matin qui se levait dès l'aurore? Comment a été brisé contre terre celui qui commandait à toutes les nations?
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
Tu disais dans ton cœur: Je monterai au ciel; je placerai mon trône au- dessus des astres; je m'assoirai sur une haute montagne, sur ces hautes montagnes qui s'étendent vers l'aquilon.
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
Je monterai au-dessus des nuages; je serai semblable au Très-Haut.
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Et maintenant tu es descendu en enfer, et jusqu'aux fondements de la terre. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
Ceux qui t'ont vu seront étonnés de ta chute, et ils diront: Voilà cet homme qui exaspérait la terre, qui ébranlait les rois;
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
Qui avait fait de toute la terre une solitude, qui en détruisait les cités, et qui ne délivrait pas ceux qu'il avait faits captifs.
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
Tous les rois des nations se sont endormis dans la mort, tous avec honneur et dans leurs palais.
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
Mais toi, tu seras jeté dans les montagnes, comme un cadavre impur, avec une multitude de morts percés du glaive et descendus aux enfers. Comme un manteau souillé de sang ne peut être pur,
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
Ainsi tu seras impur; et parce que tu as désolé ma terre et tué mon peuple, toi, semence perverse, tu ne subsisteras pas longtemps!
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Prépare tes enfants pour qu'on les égorge en punition du péché de leur père; qu'ils ne se relèvent pas, qu'ils n'héritent pas de leur royaume, qu'ils ne remplissent pas la terre du bruit de leurs batailles.
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
Et je m'élèverai contre eux, dit le Seigneur des armées, et je détruirai leur nom, leurs restes et leur race. Voilà ce que dit le Seigneur.
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
Et je ferai de là Babylonie un désert, une demeure pour les hérissons; et je la réduirai au néant; et j'en ferai pour la perdre un abîme de fange.
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
Or voici ce que dit le Seigneur des armées: Comme j'ai dit, il sera fait; ce que j'ai résolu s'accomplira.
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
Je détruirai les Assyriens sur ma terre et sur mes montagnes; et ils seront foulés aux pieds; et mon peuple sera délivré de leur joug, et leur gloire à eux sera enlevée de leurs épaules.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
Voilà le dessein que le Seigneur a décrété sur toute la terre, et voilà sa main levée sur toutes les nations.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
Et ce que le Dieu saint a décrété, qui pourra s'y opposer? Sa main levée, qui la détournera?
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
C'est l'année où mourut le roi Achaz que cette parole a été prédite:
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
Ne vous réjouissez pas, ô Philistins, de ce que le joug de celui qui vous frappait a été brisé; car d'une race de serpents sortira une famille d'aspics, et de cette famille sortiront des serpents ailés.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
Et les pauvres seront nourris par le Seigneur; les pauvres se reposeront en paix; tandis qu'il fera mourir de faim ta race, et détruira tes restes.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Poussez des cris de douleur, portes des cités; que vos villes, ô Philistins, jettent des cris d'épouvante; car de l'aquilon vient un tourbillon de fumée, et nul ne peut y échapper.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
Et que répondront les rois des nations? Que le Seigneur a fondé Sion, et que, par lui, les humbles de son peuple seront sauvés.

< Isaya 14 >