< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
Certes, l’Eternel aura pitié de Jacob, et il fera encore d’Israël son élu; il les rétablira sur leur sol. L’Étranger, alors, se ralliera à eux et s’annexera à la maison de Jacob.
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
Les peuples viendront les prendre pour les ramener en leur pays, et la maison d’Israël les possédera comme esclaves et comme servantes sur la terre du Seigneur. Ainsi ils retiendront captifs ceux qui les avaient faits captifs et auront la haute main sur leurs oppresseurs.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
Le jour où l’Eternel aura assuré ton repos, après tes épreuves, tes tourments et la dure servitude qui te fut imposée,
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
tu entonneras le chant que voici sur le roi de Babylone: "Comment a disparu l’oppresseur, cessé la tyrannie!
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
L’Eternel a brisé le bâton des méchants, le sceptre des despotes,
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
qui frappait avec fureur les peuples de coups sans trêve, accablait avec rage les nations de persécutions sans merci.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
La terre entière a maintenant retrouvé le calme et la paix: on éclate en cris d’allégresse.
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
Même les cyprès et les cèdres du Liban se réjouissent de ta chute: "Depuis que tu es à terre, le bûcheron ne monte plus contre nous."
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Le Cheol, dans ses profondeurs, s’est ému à ton approche, il a réveillé pour toi les ombres, ceux qui furent jadis les puissants de la terre, il a fait lever de leurs trônes les rois des nations. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
Tous ensemble prennent la parole et te disent: "Te voilà donc aussi frappé comme nous! Te voilà donc pareil à nous!"
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Ton faste est descendu dans le Cheol, avec tes harpes retentissantes; sous toi la vermine forme ta couche et les vers te servent de couverture. (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
Comme tu es tombé du ciel, astre brillant, fils de l’aurore! Comme tu as été renversé jusqu’à terre, dompteur des nations!
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
Tu disais en ton cœur: "Je monterai au ciel; au-dessus des étoiles de Dieu, j’érigerai mon trône; je m’assiérai sur la montagne du rendez-vous (des dieux), dans les profondeurs du Nord.
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
Je monterai sur les hauteurs des nuées, je serai l’égal du Très-Haut."
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Mais non, c’est dans le Cheol que tu es précipité, dans les profondeurs du gouffre. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
Ceux qui te voient te fixent de leur regard et, pensifs, se disent: "Est-ce là cet homme qui faisait trembler la terre, chanceler les empires,
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
qui changeait le monde en désert, renversait les villes et jamais n’ouvrait à ses captifs la porte des cachots?"
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
Tous les rois des nations sont couchés avec honneur, chacun dans son mausolée;
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
mais toi, tu as été expulsé de ta tombe tel qu’un rejeton maudit; sous un linceul de morts, percés par le glaive et descendus dans les pierres du sépulcre, tu es pareil, toi, à une charogne piétinée.
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
Tu ne partageras pas avec eux les honneurs de la sépulture, car tu as perdu ton pays, assassiné ton peuple. La race des méchants ne doit pas avoir de nom dans l’éternité.
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Préparez le champ de carnage pour ses fils, à cause des iniquités de leurs pères, de peur qu’ils ne se lèvent pour reconquérir le monde, et que la terre ne soit de nouveau remplie de violences,
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
"Oui, je me lèverai contre eux, dit l’Eternel-Cebaot et, de Babylone je détruirai le nom et la trace, tout descendant, toute postérité, dit le Seigneur;
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
j’en ferai le domaine du hérisson, le réceptacle des eaux, je le balaierai du balai de la destruction," dit l’Eternel-Cebaot.
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
L’Eternel-Cebaot a prononcé ce serment: "Certes, ce que j’ai résolu arrivera, ce que j’ai décrété s’accomplira.
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
Je briserai Achour en ma terre, je le broierai sur mes montagnes; son joug disparaîtra de dessus les hommes, et son fardeau cessera de peser sur leurs épaules.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
Voilà le décret préparé contre toute la terre, voilà la main étendue sur toutes les nations.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
Oui, quand l’Eternel-Cebaot a décrété, qui peut faire obstacle? Sa main étendue, qui peut la ramener?"
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
L’Année de la mort du roi Achaz fut prononcé cet oracle:
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
"Terre des Philistins, ne te réjouis pas sans mesure de ce qu’elle soit brisée, la verge qui te frappait; car de la racine d’un serpent sortira un basilic, et son fruit sera un dragon volant.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
Tandis que les élus des malheureux se nourriront et les humbles gîteront en sécurité, je ferai mourir de faim ta race; et ceux des tiens qui survivront, on les égorgera.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Lamente-toi, porte, crie ta plainte, cité! Tu es toute défaillante, terre des Philistins: c’est qu’une fumée s’avance du Nord. Personne ne reste en arrière dans ses légions assemblées.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
Et quelle réponse sera faite aux députés des nations? C’Est que l’Eternel a fondé Sion et que les humbles de son peuple y trouvent un abri!"

< Isaya 14 >