< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
For the LORD will have compassion on Jacob, and will yet choose Israel, and set them in their own land; and the stranger shall join himself with them, and they shall cleave to the house of Jacob.
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
And the peoples shall take them, and bring them to their place; and the house of Israel shall possess them in the land of the LORD for servants and for handmaids; and they shall take them captive, whose captives they were; and they shall rule over their oppressors.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
And it shall come to pass in the day that the LORD shall give thee rest from thy travail, and from thy trouble, and from the hard service wherein thou wast made to serve,
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
that thou shalt take up this parable against the king of Babylon, and say: How hath the oppressor ceased! the exactress of gold ceased!
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
The LORD hath broken the staff of the wicked, the sceptre of the rulers,
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
That smote the peoples in wrath with an incessant stroke, that ruled the nations in anger, with a persecution that none restrained.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
The whole earth is at rest, and is quiet; they break forth into singing.
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
Yea, the cypresses rejoice at thee, and the cedars of Lebanon: 'Since thou art laid down, no feller is come up against us.'
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
The nether-world from beneath is moved for thee to meet thee at thy coming; the shades are stirred up for thee, even all the chief ones of the earth; all the kings of the nations are raised up from their thrones. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
All they do answer and say unto thee: 'Art thou also become weak as we? Art thou become like unto us?
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Thy pomp is brought down to the nether-world, and the noise of thy psalteries; the maggot is spread under thee, and the worms cover thee.' (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
How art thou fallen from heaven, O day-star, son of the morning! How art thou cut down to the ground, that didst cast lots over the nations!
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
And thou saidst in thy heart: 'I will ascend into heaven, above the stars of God will I exalt my throne, and I will sit upon the mount of meeting, in the uttermost parts of the north;
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
I will ascend above the heights of the clouds; I will be like the Most High.'
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Yet thou shalt be brought down to the nether-world, to the uttermost parts of the pit. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
They that saw thee do narrowly look upon thee, they gaze earnestly at thee: 'Is this the man that made the earth to tremble, that did shake kingdoms;
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
That made the world as a wilderness, and destroyed the cities thereof; that opened not the house of his prisoners?'
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
All the kings of the nations, all of them, sleep in glory, every one in his own house.
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
But thou art cast forth away from thy grave like an abhorred offshoot, in the raiment of the slain, that are thrust through with the sword, that go down to the pavement of the pit, as a carcass trodden under foot.
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
Thou shalt not be joined with them in burial, because thou hast destroyed thy land, thou hast slain thy people; the seed of evil-doers shall not be named for ever.
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Prepare ye slaughter for his children for the iniquity of their fathers; that they rise not up, and possess the earth, and fill the face of the world with cities.
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
And I will rise up against them, saith the LORD of hosts, and cut off from Babylon name and remnant, and offshoot and offspring, saith the LORD.
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
I will also make it a possession for the bittern, and pools of water; and I will sweep it with the besom of destruction, saith the LORD of hosts.
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
The LORD of hosts hath sworn, saying: Surely as I have thought, so shall it come to pass; and as I have purposed, so shall it stand,
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
That I will break Asshur in My land, and upon My mountains tread him under foot; then shall his yoke depart from off them, and his burden depart from off their shoulder.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
This is the purpose that is purposed upon the whole earth; and this is the hand that is stretched out upon all the nations.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
For the LORD of hosts hath purposed, and who shall disannul it? And His hand is stretched out, and who shall turn it back?
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
In the year that king Ahaz died was this burden.
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
Rejoice not, O Philistia, all of thee, because the rod that smote thee is broken: for out of the serpent's root shall come forth a basilisk, and his fruit shall be a flying serpent.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
And the first-born of the poor shall feed, and the needy shall lie down in safety; and I will kill thy root with famine, and thy remnant shall be slain.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Howl, O gate; cry, O city; melt away, O Philistia, all of thee; for there cometh a smoke out of the north, and there is no straggler in his ranks.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
What then shall one answer the messengers of the nation? That the LORD hath founded Zion, and in her shall the afflicted of His people take refuge.

< Isaya 14 >