< Isaya 13 >

1 Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
Spriedums par Bābeli, ko Jesaja, Amoca dēls, redzējis.
2 Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
Izceļat karogu augstā kalnā, paceļat balsi, metat ar roku, lai ieiet pa valdnieku vārtiem.
3 Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
Es esmu pavēlējis Saviem svētītiem, arī Savus stipros aicinājis uz Savu dusmību, tos, kas priecājās par Manu godību.
4 Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
Ļaužu troksnis ir kalnos, kā no lielas tautas, trokšņa skaņa no sapulcinātu tautu valstīm. Tas Kungs Cebaot pārlūko karaspēku.
5 Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
Tie nāk no tālas zemes, no pasaules gala, Tas Kungs ar Savas dusmības rīkiem, postīt visu zemi.
6 Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
Kauciet, jo Tā Kunga diena ir tuvu, viņa nāk kā posts no tā Visuvarenā.
7 Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
Tādēļ visas rokas būs nogurušas, un visu cilvēku sirdis izkusīs.
8 Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
Un tie iztrūcināsies, mokas un bēdas tos sagrābs, tiem būs sāpes, kā sievai, kas dzemdē; tie skatās kā stulbi cits uz citu, viņu vaigi deg kā liesmās.
9 Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
Redzi, Tā Kunga diena nāk briesmīga, ar dusmām un ar karstu bardzību, un dara zemi par tuksnesi un izdeldē grēciniekus no viņas nost.
10 Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
Jo debess zvaigznes un viņas spīdumi nedos savu gaismu, saule uzlecot aptumšosies, un mēnesis neļaus spīdēt savam gaišumam.
11 Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
Jo Es piemeklēšu bezdievību pie pasaules, un viņu netaisnību pie ļauniem, Es iznīcināšu lepniem lielību un nogāzīšu vareniem greznību,
12 Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
Ka vīrs būs dārgāks nekā tīrs zelts, un cilvēks dārgāks nekā Ofira dārgumi.
13 Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
Tāpēc es darīšu debesi drebam, un zeme taps kustināta no savas vietas, caur Tā Kunga Cebaot bardzību un caur viņa karstās dusmības dienu.
14 Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
Un tie būs kā izbiedināta stirna un kā avis, ko neviens nesapulcina; ikviens griezīsies pie savas tautas, un ikviens bēgs uz savu zemi.
15 Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
Ikvienu, ko atradīs, nodurs, un ikviens, ko gūstīs, kritīs caur zobenu.
16 Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
Un viņu bērniņi taps satriekti priekš viņu acīm, viņu nami taps nopostīti, un viņu sievas piesmietas.
17 Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
Redzi, Es pamodināšu pret tiem Mēdiešus, kas sudrabu necienī un zelta nekāro
18 Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
Un tie nošaudīs jaunekļus ar stopiem un nežēlos bērnus mātes miesās, bērnus viņu acis nesaudzēs.
19 Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
Un Bābele, valstu glītums, Kaldeju skaistums un lepnums, būs tā kā Sodoma un Gomora, ko Dievs apgāzis.
20 Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
Tur ne mūžam neviens vairs nedzīvos, tur neviens nemājos līdz radu radiem, Arābi tur neapmetīsies, gani tur neganīs.
21 Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
Bet tuksneša zvēri tur mitīs, un viņu namos mājos pūces pa pulkiem, un tur dzīvos strausi un jodi tur lēkās.
22 Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.
Un vilki kauks cits pret citu viņas atstātos namos, un pūķi tanīs lepnās pilīs. Un viņas laiks jau tuvu nācis, un viņas dienas nekavēsies.

< Isaya 13 >