< Isaya 13 >
1 Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
Le fardeau de Babylone, que vit Ésaïe, fils d'Amoz.
2 Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
Dressez une bannière sur la montagne nue! Élève ta voix vers eux! Agite ta main, afin qu'ils entrent dans les portes des nobles.
3 Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
J'ai donné des ordres à mes consacrés, J'ai appelé mes vaillants hommes pour ma colère, Même mes fiers exaltés.
4 Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
Le bruit d'une multitude est dans les montagnes, comme celui d'un grand peuple; le bruit d'un tumulte des royaumes des nations rassemblées! L'Éternel des armées rassemble l'armée pour la bataille.
5 Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
Ils viennent d'un pays lointain, de l'extrémité des cieux, Yahvé, avec les armes de sa colère, pour détruire tout le pays.
6 Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
Gémissez, car le jour de l'Éternel est proche! Il viendra comme une destruction de la part du Tout-Puissant.
7 Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
C'est pourquoi toutes les mains seront affaiblies, et le cœur de chacun se fondra.
8 Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
Ils seront consternés. Des angoisses et des douleurs les saisiront. Ils souffriront comme une femme en travail. Ils se regarderont avec étonnement les uns les autres. Leurs visages seront des visages de flamme.
9 Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
Voici, le jour de l'Éternel arrive, jour cruel, jour de colère et de fureur, pour réduire le pays en désert, et en exterminer les pécheurs.
10 Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
Car les étoiles du ciel et ses constellations ne donneront plus leur lumière. Le soleil s'obscurcira en s'éteignant, et la lune ne fera pas briller sa lumière.
11 Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
Je punirai le monde pour sa méchanceté, et les méchants pour leur iniquité. Je ferai cesser l'arrogance des orgueilleux, et j'humilierai l'arrogance des terribles.
12 Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
Je rendrai les hommes plus rares que l'or fin, les hommes plus rares que l'or pur d'Ophir.
13 Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
C'est pourquoi je ferai trembler les cieux, et la terre sera secouée de sa place, dans la colère de l'Éternel des armées et au jour de son ardente fureur.
14 Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
Il arrivera que, comme une gazelle en chasse et comme des brebis que personne ne rassemble, ils se tourneront chacun vers son propre peuple, et fuiront chacun dans son pays.
15 Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
Tous ceux qui seront trouvés seront transpercés. Tous ceux qui seront capturés tomberont par l'épée.
16 Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
Leurs enfants aussi seront mis en pièces sous leurs yeux. Leurs maisons seront saccagées, et leurs femmes violées.
17 Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
Voici, je vais exciter contre eux les Mèdes, qui n'apprécieront pas l'argent, et quant à l'or, ils n'y prendront pas plaisir.
18 Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
Leurs arcs mettront en pièces les jeunes gens, et ils n'auront pas pitié du fruit des entrailles. Leurs yeux n'épargneront pas les enfants.
19 Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
Babylone, la gloire des royaumes, la beauté de l'orgueil des Chaldéens, sera comme lorsque Dieu renversa Sodome et Gomorrhe.
20 Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
Elle ne sera jamais habitée, et on ne l'habitera pas de génération en génération. L'Arabe n'y dressera pas sa tente, et les bergers n'y feront pas reposer leurs troupeaux.
21 Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
Mais les bêtes sauvages du désert y coucheront, et leurs maisons seront remplies de chacals. Les autruches y habiteront, et les chèvres sauvages s'y ébattront.
22 Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.
Les hyènes crieront dans leurs forteresses, et les chacals dans les palais agréables. Son temps est proche, et ses jours ne se prolongeront pas.