< Isaya 12 >
1 Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
En ce jour-là, Israël, tu diras: Je vous bénis, Seigneur, parce que vous avez été irrité contre moi; puis vous avez détourné votre colère, et vous avez eu pitié de moi.
2 Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
Voici mon Dieu et mon Sauveur; je mettrai en lui ma confiance, et je serai sans crainte; parce que le Seigneur est ma gloire, il est ma louange, il est mon salut.
3 Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
Puisez avec joie l'eau des fontaines du salut.
4 Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
Et vous direz en ce jour: Chantez le Seigneur, célébrez son nom, annoncez sa gloire aux Gentils; souvenez-vous que son nom est glorifié.
5 Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
Chantez le nom du Seigneur; car il a fait de grandes choses; publiez-les par toute la terre.
6 Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.
Tressaillez d'allégresse et réjouissez-vous, peuple de Sion; car au milieu de vous a été glorifié le Saint d'Israël.