< Isaya 12 >

1 Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
And you have said in that day: “I thank you, O YHWH, Though You have been angry with me, Your anger turns back, And You comfort me.
2 Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
Behold, God [is] my salvation, I trust, and do not fear, For my strength and song [is] YAH—YHWH, And He is to me for salvation.
3 Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
And you have drawn waters with joy Out of the fountains of salvation,
4 Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
And you have said in that day, Give praise to YHWH, call on His Name. Make His acts known among the peoples. Make mention that His Name is set on high.
5 Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
Praise YHWH, for He has done excellence, This is known in all the earth.
6 Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.
Cry aloud, and sing, O inhabitant of Zion, For the Holy One of Israel [is] great in your midst!”

< Isaya 12 >