< Isaya 12 >
1 Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
Og du skal sige paa den Dag: Jeg vil takke dig, Herre! thi du har været vred paa mig, men din Vrede er afvendt, og du trøster mig.
2 Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
Se, Gud er min Frelse, jeg vil være tryg og ikke frygte; thi den Herre, Herre er min Styrke og Lovsang, og han er bleven mig til Frelse.
3 Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
Og I skulle drage Vand med Glæde af Frelsens Kilder.
4 Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
Og I skulle sige paa den Dag: Takker Herren, paakalder hans Navn, kundgører hans Gerninger iblandt Folkene, forkynder, at hans Navn er højt.
5 Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
Lovsynger Herren, thi han har gjort herlige Ting; dette er kundgjort paa den ganske Jord.
6 Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.
Raab højt og syng med Fryd, du Indbyggerske i Zion! thi den Hellige i Israel er stor midt udi dig.