< Isaya 10 >

1 Ole wao watimizao sheria zisizo za haki na waandikao sheria zisizo na haki.
Terrible things will happen to you judges who are unjust and who make unfair laws.
2 Wanawanyima wahitaji haki yao, wanawaibia watu wangu walio masikini haki zao, wajane mateka wao, na kuwafanya waliofiwa na baba zao mawindo yao!
You refuse to help poor people, and you do not allow them to get the things that they should get. You [allow people to] steal things from widows and do unfair things to orphans.
3 Hutafanya nini siku ya hukumu pale siku ya uaribifu itakapokuja kutoka mbali, utakimbilia msaada kwa nani? na utauacha utajiri wako wapi?
When I punish you by sending people from distant lands to cause you to experience disasters, (to whom will you run to get help?/there will be no one who can help you.) [RHQ] Your valuable possessions will certainly [not be safe] [RHQ] anywhere.
4 Hakuna kitakachobaki, utaota miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa wauwaji. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake ameunjoosha hata sasa.
You will be able only to stumble along as you are taken away with other prisoners, or [else] your corpses will lie on the ground with others who have been killed. But even after that happens, Yahweh will still be very angry with you. He will still be ready to strike you again with his fist.
5 Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
[Yahweh says], “Terrible things will happen to Assyria. [It is true that their army] is like a rod/club [DOU] with which I [punish other nations] because I am very angry with those nations [DOU].
6 Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
[Sometimes] I send the armies of Assyria to attack a godless nation, to fight against [other] people who have caused me to be angry. I send them to capture people and to seize and take away their possessions, and to trample them like [SIM] people walk on mud in the streets.
7 Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.
But the [king of Assyria] does not understand, he does not realize [that he is only like a weapon in my hand]. He wants [only] to destroy people, to get rid of many nations.
8 Maana amesema, '' wakuu wote sio wafalme?
He says, ‘All of my army commanders will soon be kings [of these nations that I conquer]!
9 Je? kalno si kama Karkemish? Je Hamathi si kama Arpadi? Je Samaria si kama Demeski?
We destroyed Calno [city] like we destroyed Carchemish [city], We destroyed Hamath [city] like we destroyed Arpad [city]; we destroyed Samaria just like we destroyed Damascus.
10 Kama mikono yangu imeshinda falme za ibada ya sanamu, ikiwa sanamu zao za kuchonga ni bora kuliko sanamu za Yerusalemu
We were able to destroy [all] those kingdoms [that were full] of idols, kingdoms whose idols were greater than the idols in Jerusalem and Samaria.
11 na Kama nilivyofanya kule Samaria na sanamu zake zisizo na maana, je sitaweza kufanya hivyo Yerusalemu na sanamu zake?''
So we will defeat Jerusalem and destroy the idols that are there, just like we destroyed Samaria and the idols that were there!’
12 Pindi ambapo Bwana alipoimaliza kazi kwenye mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitayaadhibu maneno ya moyo wenye kiburi ya mfalme wa Asiria na majivuno yake.
[But, I, Yahweh, say that] after I [have used Assyria to] finish what I want to do to punish the people in Jerusalem [DOU], I will punish the king of Assyria because he has been very proud and arrogant/boastful [DOU].
13 Kwa maana amesema, ''Kwa nguvu zangu na kwa hekima yangu niliyoifanya. na Nimeelewa, na nimeondoa mipaka ya watu. nimewaibia akiba yao, ni kama nilioileta chini kwa wenyeji wake.
He says, ‘By my own great power [MTY] I have done these things. I have been able to do them because I am very wise and very intelligent. My army removed the barriers [at the borders] of nations and carried away all their valuable things. My army has knocked down their kings like [SIM] a ferocious bull would.
14 Na mkono wangu umezitoa mali za mataifa kama vile mtu ayakusanyavyo mayai, kama nilivyokusanya dunia yote. Hakuna atakayeperusha mabawa yake au kufungua midomo yake au kulia.''
Like [MET] a farmer reaches into a bird’s nest [to take away the eggs], we have taken away the treasures of other countries [DOU]. The people were not like birds that would flap their wings or chirp loudly [to protest about their eggs being stolen]; the people did not object at all [to their treasures being stolen].’
15 Je shoka lijisifu lenyewe juu ya mtu anayelitumia? Je litajisifia lenyewe zaidi ya yule anaelitumia kukatia? Au fimbo imuinuae yeye ambaye si mti.
[But I, Yahweh, say that] an axe certainly cannot [RHQ] boast about being stronger than the person who uses it, and a saw is not greater than the person who uses it. A rod cannot control the one who holds it [RHQ], and a wooden club cannot lift up a person [RHQ]. [So the king of Assyria should not boast that he has done these things with his own wisdom and strength].
16 Hivyo basi Yahwe wa majeshi atatuma wadhaifu miongoni mwa wasomi wa kijeshi; na chini ya utukufu na kuteketea kama kuteketea kwa moto.
And [I], the Commander of the armies of angels, will send a plague among the proud soldiers of Assyria; it will be like [MET] a fire that will kill them and get rid of their glory/wealth.
17 Mwanga wa Isreli utakuwa moto, na Mtakatifu wake atakuwa ni moto unaoteketeza na kula mbigiri siku moja.
[I], Yahweh, who am like [MET] a light for the people of Israel, will be the fire; [I], the Holy One, will be like a flame. [The soldiers of Assyria are like] [MET] thorns and briers, and I will burn them up in one night.
18 Yahwe atauteketeza utukufu wa msitu wake na shamba lake linalostawi, vyote nafsi na mwili; itakuwa kama vile mgonjwa apotezae maisha yake.
There are glorious forests and fertile farmlands in Assyria, but I will completely destroy them; they will be like [SIM] a [very] sick person who shrivels up and then dies.
19 Mabaka ya miti ya misitu itakuwa michache sana, ambayo mtoto anaweza kuyahesabu.
There will be very few trees left in those forests; even a child will be able to count them.”
20 Siku hiyo, mabaki ya Israeli, familia ya Yakobo ambayo imekimbia, hawatategemea kushindwa, lakini watamtegemea Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
In the future there will be only a few people left in Israel; not many descendants of Jacob will still be alive. [But] they will no longer rely on [the king of Assyria], [the king of the nation] that tried to destroy them. Instead, they will faithfully/sincerely trust in Yahweh, the Holy One of Israel.
21 Mabaki ya Yakobo yatarudi kwa Mungu mwenye nguvu.
Those Israelis will return to their mighty God.
22 Kwa kupitia watu wako, Israeli ni kama mchanga kama pwani ya bahari, Mabaki yao tu ndio yatakayorudi. Uaribifu wa amri, na mahitaji ya wingi wa haki.
[Now], the people of Israel are as numerous as the grains of sand on the seashore, but only a few of them will return [from the countries to which they were exiled]. Yahweh has decided to destroy [most of the Israelis] and that is what [he must do because he is completely] just/righteous.
23 Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
[Yes, ] the Commander of the armies of angels has [already] decided to destroy the entire land [of Israel].
24 Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
This is what the Commander of the armies of angels says: “My people in Jerusalem, do not be afraid of the army of Assyria when they beat you with rods and clubs, like the men of Egypt did [to your ancestors long ago].
25 Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''
Soon I will no longer be angry with you, and [then] I will be angry with the people of Assyria and destroy them!”
26 Hivyo Yahwe wa majeshi atapiga mjeledi juu yenu kama vile alivyoishinda Midiani karibu na mwamba Orebu. Na atanyanyua fimbo yake juu ya bahari kama alivyofanya kule Misri.
The Commander of the armies of angels will whip them. He will do to them like he did when he helped Gideon [and his 300 soldiers] to defeat the [army of the] Midian people-group, and like he did when he showed his mighty power [MTY] [by causing the army of Egypt to drown] in the [Red] Sea.
27 Siku hiyo mzigo wake utanyanyuliwa kwenye mabeba yako na nira katika shingo yako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya unene.
Some day, Yahweh will cause the army of Assyria to stop oppressing you, [his people]; he will end your suffering and your being slaves of the people of Assyria [MET]; he will take away the load that you people of Judah have been carrying, and cause things to go well for you.
28 Adui amekuja Aiathi na amepitia Migroni; katika Michmashi ameyahifadhi mahitaji yake.
[The army of Assyria will enter northern Judah] near Aiath [town], they will go through Migron [town] and store their supplies at Micmash [town north of Jerusalem].
29 Wamevuka juu ya njia na wamepunzika huko Geba. Rama inatetemeka na Gibea ya Sauli imekimbia.
They will cross through a mountain pass and set up their tents at Geba [town]. [People in] Ramah [town] will tremble [because of being afraid]. [The people of] Gibeah [town], where King Saul [was born], will [all] run away.
30 Lia kwa sauti, ewe binti wa Galimu! sikiliza, Laishashi! Maskini Anathothi!
You people of Gallim [town] will cry out [for help]. You will shout to [the people of] Laish [city near Jerusalem] to warn them! [The people of] Anathoth [town] will suffer a lot.
31 Madmena ni mkimbizi na mkazi wa Gebuni wamejikusanya wanakimbia kutafuta msada.
[The people of] Madmenah [town north of Jerusalem will all] be running away, and [the people of] Gebim [town close to Jerusalem] will be trying to hide.
32 Siku hizi za leo atasimulia huko Nobi na atatingisha mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
The soldiers of Assyria will stop at Nob [city outside Jerusalem]. They will shake their fists [as they threaten the people] on Zion Hill in Jerusalem.
33 Tazama, Bwana Yahwe wa majeshi atapunguza matawi kwa nguvu za kutisha; miti mirefu itakatwa chini, wanaojivuna wataangushwa.
But listen to this! The Commander of the armies of angels with his great power will destroy [MET] the mighty army of Assyria. [It is as though they are] a huge tree [MET] that he will cut down.
34 Atang'oa vichaka vya msitu kwa shoka, Lebanoni na utukufu wake utaanguka.
He will destroy the [soldiers of Assyria] like men use big axes to cut down the tall trees in the forests of Lebanon.

< Isaya 10 >