< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Videnje Amócovega sina Izaija, ki ga je videl glede Juda in Jeruzalema v dneh Uzíjaha, Jotáma, Aháza in Ezekíja, Judovih kraljev.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Prisluhnite, oh nebesa in pazljivo prisluhni, oh zemlja, kajti Gospod je spregovoril: »Hranil in vzgojil sem otroke, oni pa so se uprli zoper mene.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Vol pozna svojega lastnika in osel jasli svojega gospodarja, toda Izrael ne pozna, moje ljudstvo ne preudari.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Ah, grešen narod, ljudstvo, obloženo s krivičnostjo, seme hudodelcev, otroci, ki so izprijenci. Zapustili so Gospoda, izzivali so Svetega Izraelovega k jezi, odvrnili so se nazaj.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Zakaj naj bi bili še udarjani? Spuntali se boste bolj in bolj. Celotna glava je bolna in celotno srce slabi.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
Od podplata stopala celo do glave ni zdravja na njem, temveč rane, modrice in gnojne rane; te niso bile zaprte niti obvezane niti ublažene z mazilom.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Vaša dežela je zapuščena, vaša mesta so požgana z ognjem. Vaša dežela, tujci jo požirajo v vaši prisotnosti in ta je zapuščena, kakor premagana s tujci.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
Hči sionska je ostala kakor koča v vinogradu, kakor lopa na kumaričnem vrtu, kakor oblegano mesto.«
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Razen, če nam Gospod nad bojevniki ne bi pustil zelo majhnega ostanka, bi bili kakor Sódoma in podobni bi bili Gomóri.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Poslušajte Gospodovo besedo, vi sódomski vladarji, pazljivo prisluhnite postavi našega Boga, ljudstvo gomórsko.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
»Za kakšen namen mi je množica vaših klavnih daritev?« govori Gospod: »Sit sem žgalnih daritev ovnov in tolšče pitanih živali in ne razveseljujem se v krvi bikcev ali jagnjet ali kozlov.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
Ko prihajate, da se pojavite pred menoj, kdo je to zahteval iz vaše roke, da teptate moje dvore?
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Ne prinašajte več praznih daritev; kadilo mi je ogabnost. Mlajev in šabat, sklicevanja zborov ne morem prenašati; to je krivičnost, celo slovesno srečanje.
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Vaše mlaje in vaše določene praznike sovraži moja duša. Le-ti so mi obremenitev, naveličal sem se jih prenašati.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
Ko svoje roke iztezate naprej, bom pred vami skril svoje oči. Da, ko opravljate številne molitve, ne bom poslušal. Vaše roke so polne krvi.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Umijte se, očistite se. Odstranite zlo svojih dejanj izpred mojih oči, prenehajte početi zlo.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Naučite se delati dobro, iščite sodbo, olajšajte zatirane, sodite osirotele, potegujte se za vdovo.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Pridite torej in skupaj preudarimo, « govori Gospod, »čeprav bi bili vaši grehi kakor škrlat, bodo tako beli kakor sneg; čeprav bi bili rdeči, podobni škrlatnemu [črvu], bodo kakor volna.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
Če boste voljni in poslušni, boste jedli dobro od dežele.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Toda če odklonite in se uprete, boste požrti z mečem, kajti Gospodova usta so to govorila.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
Kako je zvesto mesto postalo pocestnica! Bila je polna sodbe, pravičnost je bila nastanjena v njej, toda sedaj morilci.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Tvoje srebro je postalo žlindra, tvoje vino pomešano z vodo,
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
tvoji princi so uporni in družabniki tatov. Vsakdo izmed njih ljubi darila in sledi podkupninam. Osirotelega ne branijo niti pravda vdov ne pride k njim.«
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Zato govori Gospod, Gospod nad bojevniki, Mogočni Izraelov: »Ah, žal mi bo mojih nasprotnikov in maščeval se bom nad svojimi sovražniki
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
in svojo roko bom obrnil nadte in z lugom temeljito očistil proč tvojo žlindro in odvzel ves tvoj kositer
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
in povrnil bom tvoje sodnike kakor poprej in tvoje svetovalce, kakor na začetku. Potem boš imenovana: ›Mesto pravičnosti, zvesto mesto.‹
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Sion bo odkupljen s sodbo in njegovi spreobrnjenci s pravičnostjo.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
Uničenje prestopnikov in grešnikov bo hkratno in tisti, ki zapustijo Gospoda, bodo použiti.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
Kajti sramovali se bodo hrastov, ki ste jih želeli in zbegani boste zaradi vrtov, ki ste jih izbrali.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
Kajti vi boste kakor hrast, čigar list oveni in kakor vrt, ki nima vode.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
Močni bo kakor predivo in njegov izdelovalec kakor iskra in skupaj bosta sežgana in nihče ju ne bo pogasil.«

< Isaya 1 >