< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
[I am] Isaiah, the son of Amoz. [Yahweh showed me] visions about Jerusalem and [all the other places in] Judah. He showed me these visions during the years that Uzziah, Jotham, Ahaz, and Hezekiah were kings of Judah.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
This is what Yahweh says: “All you [angels in] [APO] heaven and [all you people on] [APO] earth, listen to me! The people that I caused to exist and took care of [DOU] have rebelled against me.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Oxen know their owners, and donkeys know who provides food for them, but my Israeli people do not know [me]; they do not realize [that I am the one who takes care of them].”
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Terrible things will happen to that sinful nation, to those people who are guilty of sinning greatly. They are a group of very evil people, who act very unjustly. They have abandoned Yahweh, the holy one of Israel; they have (abandoned/turned away from) him.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Why do you [RHQ] continue to [do things for which] you should be punished? Why do you continue to rebel against Yahweh? [You are like] [MET] someone whose head is badly injured and whose mind is sick/corrupt.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
[It is as though] [MET] from the soles/bottoms of your feet to the [tops of your] heads nothing is healthy; there are only open wounds and cuts and sores that have not been cleaned or bandaged, and no [olive] oil has been put on them [to heal them].
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
[It is as though] your country is ruined/desolate; your towns have been burned. Foreigners plunder/steal the crops in your fields while you watch; they destroy everything [that they see].
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
The city of Jerusalem has [already] been abandoned, it is like [SIM] a shelter in a vineyard that has been abandoned by the watchmen; it is like [SIM] a watchman’s hut in a field of melons that has been deserted. It is a city surrounded by its enemies who are waiting to attack it.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
If the Commander of the armies of angels had not allowed a few of us [his people] to (survive/remain alive), we would have [all] been [destroyed], like [the cities of] Sodom and Gomorrah [were destroyed].
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
You [leaders of Judah are as wicked as] the rulers of Sodom were, and you [other people in Jerusalem areas are as wicked as] the people in Gomorrah [were]. Listen to this message from Yahweh, [all of you]!
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
He says, “You continue to bring many sacrifices to me, but I do not [RHQ] want them [because you do not worship me sincerely]! You bring me many offerings to be completely burned [on the altar], [but] I (am tired/do not want any more) of your burning all those offerings, the burning rams and the fat from fat cattle. I am not pleased with the blood of bulls and lambs and goats that [the priest] pours [against the altar].
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
When you come to my temple to worship me, no one [RHQ] told you to trample on my courtyard while you perform all those rituals.
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Stop bringing to me those offerings, because they are useless [to me]; I am disgusted with the incense that [the priests burn]. And [your feasts to celebrate] the new moon [each month] and your (Sabbath [days]/days of rest) and your [other] festivals— I detest them because of the wicked things [that you do].
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
I [SYN] hate [all] your celebrations of each new moon and the [other] festivals that you celebrate each year. They are [like] [MET] a heavy burden that I am tired of carrying.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
[So], when you lift up your hands when you pray [to me], I will not [even] look at you. Even if you pray [to me very] frequently, I will not listen [to you], [because it is as though] your hands are covered with the blood [of people whom you have killed].
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Cleanse your inner beings, and become [spiritually] clean! Stop your evil behavior! Stop doing things that are wrong!
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Learn to do [things that are] good! [Try to] cause people to do what is just. Help people who are (oppressed/treated cruelly). Defend orphans and widows [when people take them to court].”
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Yahweh says, “You need to think about the results of what you do. Even though [the guilt of] your sins be [as evident and as difficult to get rid of] as [SIM] red [stains on a white garment] [DOU], [I will get rid of them completely] [like someone who can make that stained garment] become as white as snow or wool [DOU].
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
If you are willing to obey [me], [I will enable] you to have plenty to eat.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
But, if you turn away [from me and] rebel against me, you will be killed [by your enemies’] swords. [That will surely happen, because I, ] Yahweh, have said it.”
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
“[You people of Jerusalem previously] faithfully [worshiped only] me, but now you have become like [MET] prostitutes [who are not faithful to any husband]. Previously, people there always acted justly/fairly and righteously, but now your city [is full of] murderers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Previously, you were [like] [MET] pure silver, but now you have become [like] [MET] the scum that is left [when silver is purified]. Previously you were [like pure] wine, but you have become [like] [MET] wine that has [a lot of] water mixed with it.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Your leaders are rebels; they spend time with thieves. They all want to get bribes and force others to give them gifts [in order that they do good things for them]. They do not defend orphans [in court], and they do not do all they can to enable widows to get what they should receive.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Therefore [I, ] the Commander of the armies of angels, the mighty God of Israel, say to my enemies, ‘will get revenge on you; you will not cause me any more trouble. And I will pay you back for the evil things that you did.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
I will raise my fist to strike you. I will [punish you severely] [MET], as though [MET] you were silver [and I needed to heat you very greatly to] melt you and get rid of the impurities.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
[After that happens, ] I will give you good judges like you had previously; you will have [wise] counselors like you had long ago. Then people will call your city “a city where people [act] righteously, a city where people are loyal to me.”'”
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Because the people of Jerusalem will do what is fair/just, their city will be restored; those who repent [will be saved] because of [their acting] righteously.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
But rebels and sinners will be crushed by Yahweh, and those who forsake him will disappear.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
You will be ashamed because [you worshiped] idols under the oak trees [that you considered to be] sacred; you will be disgraced because [you worshiped idols] in the gardens where you chose [to worship them].
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
You will be like [SIM] a very large tree which has withered leaves, like [SIM] a garden that [is dried up because] it has no water.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
Those among you who are [very] strong will become [like] [MET] dry wood, and the work they do will be [like] [MET] a spark; both they and the evil things that they do will burn up completely, and no one will be able to put out the fire.

< Isaya 1 >