< Hosea 9 >

1 Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
Israël, ne te livre pas à la joie, à l’allégresse, comme les peuples, De ce que tu t’es prostitué en abandonnant l’Éternel, De ce que tu as aimé un salaire impur dans toutes les aires à blé!
2 Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
L’aire et le pressoir ne les nourriront pas, Et le moût leur fera défaut.
3 Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
Ils ne resteront pas dans le pays de l’Éternel; Éphraïm retournera en Égypte, Et ils mangeront en Assyrie des aliments impurs.
4 Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
Ils ne feront pas à l’Éternel des libations de vin: Elles ne lui seraient point agréables. Leurs sacrifices seront pour eux comme un pain de deuil; Tous ceux qui en mangeront se rendront impurs; Car leur pain ne sera que pour eux, Il n’entrera point dans la maison de l’Éternel.
5 Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
Que ferez-vous aux jours solennels, Aux jours des fêtes de l’Éternel?
6 Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
Car voici, ils partent à cause de la dévastation; L’Égypte les recueillera, Moph leur donnera des sépulcres; Ce qu’ils ont de précieux, leur argent, sera la proie des ronces, Et les épines croîtront dans leurs tentes.
7 Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
Ils arrivent, les jours du châtiment, Ils arrivent, les jours de la rétribution: Israël va l’éprouver! Le prophète est fou, l’homme inspiré a le délire, A cause de la grandeur de tes iniquités et de tes rébellions.
8 Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
Éphraïm est une sentinelle contre mon Dieu; Le prophète… un filet d’oiseleur est sur toutes ses voies, Un ennemi dans la maison de son Dieu.
9 Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
Ils sont plongés dans la corruption, comme aux jours de Guibea; L’Éternel se souviendra de leur iniquité, Il punira leurs péchés.
10 Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
J’ai trouvé Israël comme des raisins dans le désert, J’ai vu vos pères comme les premiers fruits d’un figuier; Mais ils sont allés vers Baal-Peor, Ils se sont consacrés à l’infâme idole, Et ils sont devenus abominables comme l’objet de leur amour.
11 Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
La gloire d’Éphraïm s’envolera comme un oiseau: Plus de naissance, plus de grossesse, plus de conception.
12 Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
S’ils élèvent leurs enfants, Je les en priverai avant qu’ils soient des hommes; Et malheur à eux, quand je les abandonnerai!
13 Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
Éphraïm, aussi loin que portent mes regards du côté de Tyr, Est planté dans un lieu agréable; Mais Éphraïm mènera ses enfants vers celui qui les tuera.
14 Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
Donne-leur, ô Éternel!… Que leur donneras-tu?… Donne-leur un sein qui avorte et des mamelles desséchées!
15 'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
Toute leur méchanceté se montre à Guilgal; C’est là que je les ai pris en aversion. A cause de la malice de leurs œuvres, Je les chasserai de ma maison. Je ne les aimerai plus; Tous leurs chefs sont des rebelles.
16 Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
Éphraïm est frappé, sa racine est devenue sèche; Ils ne porteront plus de fruit; Et s’ils ont des enfants, Je ferai périr les objets de leur tendresse.
17 Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.
Mon Dieu les rejettera, parce qu’ils ne l’ont pas écouté, Et ils seront errants parmi les nations.

< Hosea 9 >