< Hosea 9 >

1 Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
not to rejoice Israel to(wards) rejoicing like/as people for to fornicate from upon God your to love: lover wages upon all threshing floor grain
2 Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
threshing floor and wine not to pasture them and new wine to deceive in/on/with her
3 Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
not to dwell in/on/with land: country/planet LORD and to return: return Ephraim Egypt and in/on/with Assyria unclean to eat
4 Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
not to pour to/for LORD wine and not to please to/for him sacrifice their like/as food: bread evil: trouble to/for them all to eat him to defile for food: bread their to/for soul: appetite their not to come (in): come house: temple LORD
5 Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
what? to make: do to/for day meeting: festival and to/for day feast LORD
6 Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
for behold to go: went from violence Egypt to gather them Memphis to bury them desire to/for silver: money their nettle to possess: possess them thistle in/on/with tent their
7 Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
to come (in): come day [the] punishment to come (in): come day [the] recompense to know Israel fool(ish) [the] prophet be mad man [the] spirit upon abundance iniquity: crime your and many hatred
8 Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
to watch Ephraim with God my prophet snare fowler upon all way: journey his hatred in/on/with house: temple God his
9 Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
be deep to ruin like/as day [the] Gibeah to remember iniquity: crime their to reckon: punish sin their
10 Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
like/as grape in/on/with wilderness to find Israel like/as early fig in/on/with fig in/on/with first: beginning her to see: see father your they(masc.) to come (in): come Baal of Peor Baal of Peor and to dedicate to/for shame and to be abomination like/as to love: lover they
11 Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
Ephraim like/as bird to fly glory their from to beget and from belly: womb and from conception
12 Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
that if: except if: except to magnify [obj] son: child their and be bereaved them from man for also woe! to/for them in/on/with to turn aside: depart I from them
13 Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
Ephraim like/as as which to see: see to/for Tyre to transplant in/on/with pasture and Ephraim to/for to come out: send to(wards) to kill son: child his
14 Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
to give: give to/for them LORD what? to give: give to give: give to/for them womb be bereaved and breast to shrivel
15 'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
all distress: evil their in/on/with Gilgal for there to hate them upon evil deed their from house: home my to drive out: divorce them not to add: again love their all ruler their to rebel
16 Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
to smite Ephraim root their to wither fruit (not *Q(K)*) to make [emph?] also for to beget [emph?] and to die desire belly: womb their
17 Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.
to reject them God my for not to hear: hear to/for him and to be to wander in/on/with nation

< Hosea 9 >