< Hosea 9 >
1 Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
Isala: ili dunu! Dilia lolo nabe hame lalegagui dunu agoane hamonana, amo yolesima! Dilia da dilia Godema baligi fa: le, E yolesi dagoi. Soge huluane ganodini, dilia da uda hina: da: i bidi lasu defele, dilila: da: i amo ogogosu ‘gode’ Ba: ile ema bidi lai dagoi. Dilia dawa: loba amo da udigili Ba: ile ea dilima gagoma bidi ibayale amoga dilia nodoi.
2 Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
Be wali hedolowane, dilia gagoma amola olife susuligi da defele hame ba: mu. Amola waini hano da ebelei dagoi ba: mu.
3 Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
Isala: ili dunu da Hina Gode Ea soge ganodini hame esalebe ba: mu. Ilia da Idibidi sogega masunu amola Asilia soge ganodini, sema ha: i manu nanebe ba: mu.
4 Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
Amo ga fifi lai soge ganodini, ilia da Hina Godema waini iasu amola gobele salasu imunu hamedei ba: mu. Dunu da idigisu amoga ha: i nasea, ledo hamoi dagoi ba: mu. Amo defele, Isala: ili dunu da sema ha: i manu nasea, ledo hamoi dagoi ba: mu. Ilia da ha: i sadima: ne fawane manu. Mogili, Hina Gode Ea Debolo Diasuga imunusa: gaguli masunu da hamedei ba: mu.
5 Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
Amasea, Hina Godema Ea nodoma: ne, Lolo Nabe ilegei eso da doaga: sea, ilia da adi hamoma: bela: ?
6 Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
Wadela: su eso da doaga: sea, Isala: ili dunu da afagogolesi dagoi ba: mu. Amasea, Idibidi dunu da ilia bogoi da: i hodo gagadosea, Memefisi moilai bai bagadega uli dogomu. Ilia silifa gobolo da fisi dagoi ba: mu, amola sogebi amogawi ilia diasu da musa: danu da aya: gaga: nomei amola gagalobo amoga dedeboi dagoi ba: mu.
7 Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
Se imunu eso da doaga: i dagoi. Isala: ili dunu da ilia wadela: i hou hamoi defele dabe lamu. Amo hou da doaga: sea, Isala: ili dunu huluane da noga: le dawa: mu. Dilia da amane sia: sa, “Amo balofede dunu da gagaoui. E da Gode Ea A: silibu amoga ba: la: lusu hamosa hisu sia: sa. Be e da doulasi dagoi.” Dilia da wadela: i hou baligili hamoi dagoiba: le, nama higasa.
8 Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
Gode da na amo balofede dunu ilegei. E da na Ea fi dunuma sisasu olelema: ne asunasi. Be na da habidili ahoasea, dilia da na sio agoane sanenisimusa: dawa: lala. Hina Gode Ea sogedafa amo ganodini, dunu huluane da Gode Ea balofede dunuma ha lai dagoi.
9 Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
Ilia Gibia moilaiga wadela: le hamoi, amo defele wadela: i hou baligiliwane hamoi dagoi. Gode da ilia wadela: i hou bu dawa: le, ilima se bagade imunu.
10 Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
Hina Gode da amane sia: sa, “Waini fage da hafoga: i soge ganodini legei ba: sea, da hahawane ba: sa. Na da Isala: ili degabo ba: le, amo defele hahawane ba: i. Figi fage degabo yoi ba: sea, amo amola da noga: idafa. Na da Isala: ili aowalalia degabo yoi ba: loba, amo defele hahawane ba: i. Be Isala: ili fi da Bio Goumiga doaga: loba, ilia da Ba: ilema nodone sia: ne gadosu mui. Amola hedolowane, ilia da ilia wadela: i ogogosu ‘gode’ (ilima ilia da asigisu) amo ilia hou defele, ilia da wadela: idafa hamoi dagoi ba: i.
11 Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
Isala: ili ea gasa bagade hou da sio agoane hagili hobeamu. Ilia da mano lamu hamedei ba: mu. Ilia uda da bu abula agui hame ba: mu.
12 Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
Be ilia da mano lamu ganiaba, Na da amo mano ga oule ahoana: loba, amola afae esalebe hame ba: la: loba. Na da Isala: ili fi yolesiagasea, ilia da se baligiliwane nabimu.”
13 Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
Hina Gode, na da ilia mano enoga desegawane fane lelegelala, amo ba: sa.
14 Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
Di amo dunuma hamoma: ne, na da adi adole ba: ma: bela: ? Ilia uda aligime hamoma: ne hamoma! Ilia mano ouga: ne dodo iasu hamedema: ne hamoma!
15 'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili dunu ilia wadela: i hou da Giliga: le moilaiga mui. Amogawi, Na da ilima higasu mui. Amola, ilia wadela: le hamobeba: le, Na da ili Na sogega gadili sefasimu. Na da ilima bu hame asigimu. Bai ilia ouligisu dunu huluane da Nama lelei dagoi.
16 Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
Isala: ili dunu da sagai amo ea difi da bioi dagoi amola fage legemu hamedei, Isala: ili da agoai gala. Ilia da mano hame lamu. Be ilia da mano lamu ganiaba, Na da amo ilia dogolegei mano medole lelegela: loba.”
17 Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.
Gode (Ema na da hawa: hamonana) E da Ea fi dunu yolesiagamu. Bai ilia da Ea sia: hame nabasu. Ilia da fifi asi gala amo ganodini udigili lalebe dunu ba: mu.