< Hosea 8 >
1 “Weka tarumbeta katika midomo yako! Tai anakuja juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja agano langu na waliasi dhidi ya sheria yangu.
Que dans ta bouche soit une trompette, comme l’aigle sur la maison du Seigneur, à cause qu’ils ont transgressé mon alliance, et que contre ma loi ils ont prévariqué.
2 Wananililia,'Mungu wangu, sisi katika Israeli tunakujua.'
Ils m’invoqueront, disant: Mon Dieu, nous vous reconnaissons, nous, Israël.
3 Lakini Israeli amekataa mema, na adui atamfuata.
Israël a rejeté le bien; l’ennemi le poursuivra.
4 Wameweka wafalme, lakini sio kwa shauri langu. Wamewafanya wakuu, lakini sikuwa na habari. Kwa fedha zao na dhahabu wamejifanyia sanamu wenyewe, ili wakatiliwe mbali.”
Ils ont régné par eux-mêmes, et non par moi; des princes se sont élevés, et je ne les ai pas connus; de leur argent et de leur or ils se sont fait des idoles, afin d’être exterminés.
5 “Ndama yako imekataliwa, Samaria. Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa. Kwa muda gani watakuwa na hatia?
Ton veau, Samarie, a été jeté par terre; ma fureur s’est irritée contre eux; jusques à quand ne pourront-ils pas se purifier?
6 Kwa maana sanamu hii ilitoka Israeli; fundi aliifanya; si Mungu! Ndama ya Samaria itavunjwa vipande vipande.
Parce que c’est d’Israël que vient ce veau; un ouvrier l’a fait, ce n’est pas un Dieu, puisque le veau de Samarie sera comme une toile d’araignée.
7 Kwa maana watu hupanda upepo na kuvuna kimbunga. Mbegu zilizosimama hazina vichwa; haitoi unga. Ikiwa itakomaa, wageni watakula.
Parce qu’ils sèmeront du vent et moissonneront une tempête; il n’y a pas un épi debout; le grain ne donnera pas de farine, et que s’il en donne, les étrangers la mangeront.
8 Israeli imemezwa; sasa wanalala kati ya mataifa kama kitu kisicho na maana.
Israël a été dévoré; maintenant il est devenu parmi les nations comme un vase immonde.
9 Kwa maana walikwenda Ashuru kama punda wa mwitu pekee. Efraimu ameajiri wapenzi kwa ajili yake mwenyewe.
Parce qu’ils sont montés vers Assur, onagre solitaire qui ne vit que pour lui-même; Ephraïm a fait des présents à ceux à qui il se prostituait.
10 Hata ingawa wameajiri wapenzi kati ya mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wao wataanza kupotea kwa sababu ya unyanyasaji wa mfalme wa wakuu.
Mais, lorsqu’ils auront acheté le secours des nations, je les rassemblerai; et ils se reposeront un peu du fardeau imposé par un roi et par des princes.
11 Kwa maana Efraimu imeongeza madhabahu kwa sadaka za dhambi, lakini zimekuwa madhabahu kwa kufanya dhambi.
Parce qu’Ephraïm a multiplié les autels pour pécher, les autels sont devenus pour lui une occasion de crime.
12 Niliweza kuandika sheria yangu kwao mara elfu kumi, lakini wangeiona kama kitu cha ajabu kwao.
J’écrirai pour lui mes nombreuses lois qui ont été considérées comme étrangères.
13 Kwa ajili ya dhabihu za sadaka zangu, hutoa nyama na kuila, lakini mimi, Bwana, siwakubali. Sasa nitafikiri juu ya uovu wao na kuadhibu dhambi zao. Watarudi Misri.
Ils offriront des hosties, ils immoleront de la chair, et ils en mangeront, et le Seigneur ne les recevra pas; maintenant il se souviendra de leur iniquité, et il visitera leurs péchés; et eux, ils retourneront en Egypte.
14 Israeli amenisahau mimi, Muumba wake, na amejenga majumba. Yuda ameimarisha miji mingi, lakini nitatuma moto juu ya miji yake; itaharibu ngome zake.
Et Israël a oublié son créateur, et il a bâti des temples; et Juda a multiplié ses villes fortifiées; et j’enverrai un feu dans ses cités, et il dévorera ses édifices.