< Hosea 7 >

1 Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
Ko sem hotel ozdraviti Izraela, takrat je bila odkrita krivičnost Efrájima in zlobnost Samarije, kajti zagrešili so neresnico. In tat vstopa in krdelo roparjev pleni zunaj.
2 Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
V svojih srcih pa ne preudarijo, da se spominjam vse njihove zlobnosti. Sedaj so jih njihova lastna dejanja obkrožila; pred mojim obrazom so.
3 Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
Kralja razveseljujejo s svojo zlobnostjo in prince s svojimi lažmi.
4 Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
Vsi so zakonolomci, kakor peč, ki jo segreje pek, ki preneha kuriti, potem ko je pregnetel testo, dokler to ni vzhajano.
5 Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
Na dan našega kralja so ga princi naredili bolnega z vinskimi mehovi; svojo roko podaja s posmehljivci.
6 kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
Kajti svoje srce so pripravili kakor peč, medtem ko prežijo v zasedi. Njihov pek spi vso noč; zjutraj ta gori kakor plameneč ogenj.
7 Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
Vsi so vroči kakor peč in požrli so svoje sodnike; vsi njihovi kralji so padli; tam ni nobenega izmed njih, ki kliče k meni.
8 Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
Efrájim se je pomešal med ljudstvo, Efrájim je neobrnjen kolač.
9 Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
Tujci so požrli njegovo moč, on pa tega ne spoznava. Da, sivi lasje so tu in tam na njem, vendar ne spoznava.
10 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
Izraelov ponos pričuje v njegov obraz, oni pa se ne vrnejo h Gospodu, svojemu Bogu niti ga zaradi vsega tega ne iščejo.
11 Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
Tudi Efrájim je podoben neumni golobici brez srca; kličejo k Egiptu, hodijo v Asirijo.
12 Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
Ko bodo šli, bom nadnje razširil svojo mrežo. Sklatil jih bom dol kakor perjad neba, kaznoval jih bom, kakor je slišala njihova skupnost.
13 Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
Gorje jim! Kajti zbežali so od mene. Naj jim bo namenjeno uničenje! Ker so se prekršili zoper mene. Čeprav sem jih odkupil, so oni kljub temu zoper mene govorili laži.
14 Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
In niso klicali k meni s svojim srcem, ko so tulili na svojih posteljah; zbrali so se zaradi žita in vina in se uprli zoper mene.
15 Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
Čeprav sem utrdil in okrepil njihove lakte, so zoper mene še vedno domišljali vragolijo.
16 Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
Vračajo se, toda ne k Najvišjemu; so kot varljiv lok; njihovi princi bodo padli pod mečem zaradi besa njihovega jezika. To bo v njihov posmeh v egiptovski deželi.

< Hosea 7 >