< Hosea 7 >

1 Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
Quand je guérirais Israël, alors l'iniquité d'Ephraïm est découverte, aussi la méchanceté de Samarie; car ils commettent des mensonges, et le voleur entre, et la bande de voleurs fait des ravages à l'extérieur.
2 Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
Ils ne considèrent pas dans leur cœur que je me souviens de toute leur méchanceté. Maintenant, leurs propres actes les ont engloutis. Ils sont devant mon visage.
3 Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
Ils réjouissent le roi par leur méchanceté, et les princes avec leurs mensonges.
4 Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
Ils sont tous adultères. Ils brûlent comme un four que le boulanger cesse de remuer, du pétrissage de la pâte, jusqu'à ce qu'elle soit levée.
5 Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
Le jour de notre roi, les princes se sont rendus malades par la chaleur du vin. Il a joint sa main à celle des moqueurs.
6 kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
Car ils ont préparé leur cœur comme un four, pendant qu'ils sont à l'affût. Leur colère couve toute la nuit. Au matin, il brûle comme un feu ardent.
7 Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
Ils sont tous aussi chauds qu'un four, et dévoreront leurs juges. Tous leurs rois sont tombés. Il n'y a personne parmi eux qui m'appelle.
8 Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
Ephraïm se mêle aux nations. Ephraïm est une crêpe non retournée.
9 Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
Des étrangers ont dévoré sa force, et il ne le réalise pas. En effet, les cheveux gris sont ici et là sur lui, et il ne le réalise pas.
10 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
L'orgueil d'Israël témoigne de sa face; mais ils ne sont pas retournés à Yahvé, leur Dieu, ni ne l'a cherché, pour tout cela.
11 Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
« Ephraïm est comme une colombe facile à tromper, sans intelligence. Ils appellent l'Égypte. Ils vont en Assyrie.
12 Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
Quand ils partiront, j'étendrai mon filet sur eux. Je les ferai tomber comme les oiseaux du ciel. Je les châtierai, comme l'a entendu leur assemblée.
13 Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
Malheur à eux! Car ils se sont éloignés de moi. Destruction pour eux! Car ils m'ont offensé. Bien que je les rachète, mais ils ont dit des mensonges contre moi.
14 Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
Ils n'ont pas crié vers moi avec leur cœur, mais ils hurlent sur leur lit. Ils s'assemblent pour le grain et le vin nouveau. Ils se détournent de moi.
15 Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
Bien que j'aie enseigné et fortifié leurs bras, mais ils complotent le mal contre moi.
16 Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
Ils reviennent, mais pas vers le Très-Haut. Ils sont comme un arc défectueux. Leurs princes tomberont par l'épée à cause de la rage de leur langue. Ce sera leur dérision dans le pays d'Égypte.

< Hosea 7 >