< Hosea 7 >

1 Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
Naar jeg læger Israel, da blottes Efraims Misgerning og Samarias Ondskab, thi de have lagt sig efter Løgn; Tyve bryde ind, en Skare røver udenfor.
2 Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
Og de sige ikke i deres Hjerte, at jeg ihukommer al deres Ondskab; nu have deres Idrætter omringet dem, de ere komne for mit Ansigt.
3 Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
Ved deres Ondskab glæde de en Konge og Fyrster ved deres Løgn.
4 Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
Alle ere de Horkarle, de ere som en Ovn, der hedes af en Bager, som holder op med at ilde fra den Tid, han har æltet Dejgen, indtil den bliver syret.
5 Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
Paa vor Konges Dag blive Fyrsterne syge ved Hede af Vinen, han rækker Spottere sin Haand.
6 kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
Thi de bringe deres Hjerte nær til deres List som til Ovnen; den hele Nat sover deres Bager; om Morgenen brænder den som luende Ild.
7 Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
Alle gløde de som Ovnen, og de have fortæret deres Dommere; alle deres Konger ere faldne, der er ingen iblandt dem, som paakalder mig.
8 Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
Efraim, han blander sig med Folkene, Efraim er som en Kage, der ikke er vendt.
9 Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
Fremmede have fortæret hans Kraft, men han mærker det ikke; der kommer ogsaa graa Haar frem hist og her paa ham, men han mærker det ikke.
10 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
Og Israels Stolthed vidner imod ham, men de vende ikke om til Herren deres Gud og søge ham ikke, uagtet alt dette.
11 Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
Men Efraim er bleven ligesom en enfoldig Due, uden Forstand; de raabe paa Ægypten, de gaa til Assyrien.
12 Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
Saa snart de gaa bort, vil jeg udbrede mit Garn over dem, jeg vil drage dem ned som Fugle under Himmelen; jeg vil tugte dem, efter hvad der er forkyndt deres Forsamling.
13 Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
Ve dem! thi de ere flygtede bort fra mig; Ødelæggelse over dem! thi de have begaaet Overtrædelse imod mig; og jeg vilde frelse dem, men de talte Løgn imod mig.
14 Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
Og de raabe ikke til mig i deres Hjerte, men de hyle paa deres Leje; for Korn og Most forsamle de sig, de vige bort fra mig.
15 Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
Og jeg oplærte, jeg styrkede deres Arme; men imod mig optænke de ondt.
16 Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
De vende sig, men ikke opad, de ere blevne som en falsk Bue, deres Fyrster skulle falde ved Sværdet for deres Tunges Frækhed; dette bliver dem til Spot i Ægyptens Land.

< Hosea 7 >