< Hosea 6 >
1 “Njoo, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
Allons, retournons à l’Eternel, car a-t-il déchiré, il nous guérira aussi, a-t-il frappé, il pansera nos blessures!
2 Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, na tutaishi mbele yake.
Déjà au bout de deux jours il nous aura rendu la vie; le troisième jour il nous aura relevés, pour que nous subsistions devant lui.
3 Nasi tumjue Bwana; tukaendelee kumjua Bwana. Kuja kwake ni hakika kama asubuhi; atakuja kwetu kama mvua, kama mvua ya vuli ambayo huinyeshea ardhi.”
Tâchons de connaître, hâtons-nous de connaître l’Eternel: son apparition est certaine comme celle de l’aurore, il vient à nous comme la pluie, comme la pluie d’arrière-saison qui abreuve la terre.
4 Efuraimu, nikufanyie nini? Yuda, nikufanyie nini? Uaminifu wako ni kama wingu la asubuhi, kama umande unaoondoka mapema.
Que dois-je faire pour toi, Ephraïm, que dois-je faire pour toi, Juda? votre amour est pourtant comme une nuée matinale, comme la rosée qui se dissipe de bonne heure.
5 Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
C’Est pourquoi je fais des trouées parmi les prophètes, je les fais périr par les paroles de ma bouche, et ainsi tes arrêts éclatent à la lumière.
6 Kwa maana natamani uaminifu wala si dhabihu, na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.
C’Est que je prends plaisir à la bonté et non au sacrifice, je préfère la connaissance de Dieu aux holocaustes,
7 Kama Adamu wamevunja agano; hawakuwa waaminifu kwangu.
tandis qu’eux à la façon des hommes ont transgressé l’alliance et, depuis lors, me sont devenus infidèles.
8 Gileadi ni jiji la wahalifu wenye miguu ya damu.
Ghilead est une cité de malfaiteurs, pleine d’embûches meurtrières.
9 Kama makundi ya wanyang'anyi wanaomngojea mtu, hivyo makuhani hujiunga pamoja kufanya mauaji kwa njia ya Shekemu; wamefanya uhalifu wa aibu.
Telles des bandes qui guettent le passant, telle est la troupe des prêtres: ils assassinent sur le chemin qui conduit à Sichem, tant ils commettent d’infamies!
10 Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo baya; Uzinzi wa Efraimu ukopale, na Israeli ametiwa unajisi.
Dans la maison d’Israël, j’ai vu des choses horribles; là s’étale l’inconduite d’Ephraïm, là se déshonore Israël.
11 Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa, nitakaporudisha urithi wa watu wangu.
A toi également, ô Juda, on te prépare une moisson, alors que je voulais réparer les pertes de mon peuple.