< Hosea 5 >
1 Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
Ecoutez ceci Sacrificateurs, et vous maison d'Israël, soyez attentifs, et [vous] maison du Roi, prêtez l'oreille; car c'est à vous de faire justice; mais vous êtes devenus [comme] un piège en Mitspa, et comme un rets étendu sur Tabor.
2 Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
Et ils ont subtilement inventé les moyens d'égorger les révoltés, mais je les châtierai tous.
3 Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
Je sais qui est Ephraïm, et Israël ne m'est point inconnu: car maintenant, toi, Ephraïm, tu as commis adultère, Israël est souillé.
4 Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
Leurs déportements ne permettront point qu'ils retournent à leur Dieu, parce que l'esprit de fornication est au milieu d'eux, et ils ne connaissent point l'Eternel.
5 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
Aussi la fierté d'Israël témoignera contre lui, et Israël et Ephraïm tomberont dans leur iniquité; Juda aussi tombera avec eux.
6 Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
Ils iront avec leurs brebis et leurs bœufs chercher l'Eternel, mais ils ne le trouveront point, il s'est retiré d'avec eux.
7 Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
Ils se sont portés infidèlement contre l'Eternel; car ils ont engendré des enfants étrangers; maintenant un mois les dévorera avec leurs biens.
8 Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
Sonnez du cor à Guibha, et de la trompette à Rama; sonnez avec retentissement à Bethaven; on est derrière toi, Benjamin.
9 Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
Ephraïm sera en désolation au jour de la correction; je le fais savoir parmi les Tribus d'Israël [comme] une chose certaine.
10 Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
Les Gouverneurs de Juda sont autant de remueurs de bornes, je répandrai sur eux ma fureur comme de l'eau.
11 Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
Ephraïm est opprimé, il est brisé justement, parce que de son bon gré il est allé après le commandement.
12 Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
Je serai donc à Ephraïm comme la teigne, et à la maison de Juda, comme la vermoulure.
13 Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
Et Ephraïm a vu sa langueur, et Juda sa plaie; Ephraïm s'en est allé vers le Roi d'Assyrie, et on a envoyé vers le Roi Jareb, mais il ne vous pourra pas guérir, et il ne pansera point la plaie pour vous en délivrer.
14 Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
Car je serai comme un lion à Ephraïm, et comme un lionceau à la maison de Juda; c'est moi, c'est moi qui déchirerai, puis je m'en irai; j'emporterai [la proie], et il n'y aura personne qui me l'ôte.
15 Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.
Je m'en irai, et retournerai en mon lieu, jusqu'à ce qu'ils se reconnaissent coupables, et qu'ils cherchent ma face; ils me chercheront de grand matin dans leur angoisse.