< Hosea 5 >

1 Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
Ô prêtres, écoutez ce que Je vais vous dire, recueillez-le; maison d'Israël, maison du roi, prêtez-Moi une oreille attentive: le jugement est près de vous; car vous êtes comme un filet vers l'affût, comme un lacs tendu sur le Thabor,
2 Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
et que des chasseurs ont attaché; et Moi, je suis Celui qui vous instruit.
3 Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
Je connais Éphraïm, et Israël ne M'a point échappé; parce que maintenant Éphraïm s'est prostitué, et qu'Israël s'est couvert de souillures,
4 Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
ils n'ont point pensé, en leur conseil, à se convertir à Dieu; car l'esprit de prostitution est en eux, et ils ne connaissent point le Seigneur.
5 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
Et l'orgueil d'Israël sera abaissé en sa face, et Israël et Éphraïm trébucheront en leurs iniquités, et Juda aussi tombera avec eux.
6 Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
Ils s'en iront, avec leurs bœufs et leurs brebis, pour chercher le Seigneur, et ils ne Le trouveront pas; car Il S'est éloigné d'eux;
7 Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
parce qu'ils L'ont abandonné et qu'il leur est né des fils d'étrangères, maintenant la nielle les dévorera eux et leurs enfants.
8 Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
Trompettes, sonnez sur les collines, retentissez sur les hauts lieux; annoncez comme des hérauts en la maison de On. Benjamin est dans la stupeur;
9 Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
Éphraïm a été effacé au jour du châtiment. J'ai montré aux tribus d'Israël des choses dignes de foi.
10 Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
Les chefs de Juda sont devenus comme ceux qui déplacent les bornes des champs, Je répandrai sur eux Ma fureur comme un torrent.
11 Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
Éphraïm a prévalu sur son adversaire; il a foulé aux pieds le jugement, parce qu'il avait commencé à adorer des choses vaines.
12 Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
Et Moi Je suis comme une épouvante pour Éphraïm, comme un aiguillon pour la maison de Juda.
13 Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
Et Éphraïm a subi son infirmité, et Juda sa douleur. Et Éphraïm est allé aux Assyriens, et il a envoyé ses anciens chez le roi Jarim. Mais celui-ci n'a pu vous guérir, et vos douleurs ne se sont point calmées;
14 Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
parce que Je suis comme une panthère pour Éphraïm, et comme un lion pour Juda; et Je M'élancerai, et Je saisirai et ravirai Ma proie, et nul ne pourra Me l'arracher.
15 Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.
Et Je partirai, et Je retournerai en Ma demeure, jusqu'à ce qu'ils soient exténués et qu'ils recherchent Ma présence. Dans leur tribulation, ils se lèveront de grand matin, et viendront à moi, en disant:

< Hosea 5 >