< Hosea 5 >

1 Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
Poslušajte ovo, svećenici, pazi, dome Izraelov, dome kraljev, de posluhni, jer vaš je sud! Vi ste bili zamka u Mispi i mreža napeta na Taboru.
2 Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
Jamu su duboko iskopali prestupnici, ali ću ih sve kazniti.
3 Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
Poznajem ja Efrajima, Izrael mi nije sakriven: da, Efrajime, bludu si se odao, okaljao si se, Izraele.
4 Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
Ne daju im djela njihova da se Bogu svome vrate, jer je duh bluda među njima; oni Jahve ne poznaju.
5 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
Ponos Izraelov svjedoči protiv njega; svojom krivnjom posrnu Efrajim, posrnut će i Juda s njim.
6 Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
Ići će s ovcama i govedima Jahvu tražiti ali ga naći neće - povukao se od njih!
7 Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
Jahvu su iznevjerili: rodili su kopilad; vjetar će žarki proždrijeti polja njihova.
8 Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
Zasvirajte u rog u Gibeji, u trublju u Rami, uzbunite Bet Aven: za petama su ti, Benjamine!
9 Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
Opustošit će Efrajima u dan kazne: među plemenima Izraelovim objavljujem ono što je sasvim pouzdano.
10 Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
Knezovi judejski postadoše poput onih što razmiču međe; na njih ću k'o vodu gnjev svoj izliti.
11 Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
Efrajim je tlačitelj, on pravdu gazi jer mu se svidjelo ići za ništavilom.
12 Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
A ja ću biti poput moljca Efrajimu, kao gnjilež kući Judinoj.
13 Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
Tad je Efrajim svoju bolest vidio, a Juda ranu svoju; i pođe Efrajim u Asiriju, obrati se Juda velikome kralju; al' on vas neće iscijeliti niti vam ranu vašu zaliječiti.
14 Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
Jer k'o lav ću biti Efrajimu, kao lavić domu Judinu; ja, ja ću razderati i otići, odnijet ću i nitko neće spasiti.
15 Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.
Poći ću, vratit ću se na svoje mjesto, dok krivnju ne priznaju i lice moje ne potraže; kad u nevolji budu, iskat će me.

< Hosea 5 >