< Hosea 4 >

1 Sikilizeni neno la Bwana, enyi watu wa Israeli. Bwana ana mashtaka dhidi ya wenyeji wa nchi, kwa sababu hakuna ukweli au uaminifu wa agano, hakuna ujuzi wa Mungu katika nchi.
Escuchen la palabra de Yahvé, hijos de Israel, porque Yahvé tiene una acusación contra los habitantes de la tierra: “En efecto, no hay verdad, ni bondad, ni el conocimiento de Dios en la tierra.
2 Kuna laana, uongo, mauaji, wizi na uzinzi. Watu wamevunja mipaka yote, na damu inakuja baada ya damu.
Hay maldiciones, mentiras, asesinatos, robos y adulterios; rompen los límites, y el derramamiento de sangre provoca el derramamiento de sangre.
3 Kwa hiyo nchi inakauka, na kila mtu aliyeishi ndani yake anaangamia; wanyama katika mashamba na ndege angani, hata samaki katika bahari, wanaondolewa.
Por lo tanto, la tierra estará de luto, y todo el que habite en ella se consumirá, con todos los seres vivos en ella, incluso los animales del campo y las aves del cielo; Sí, los peces del mar también mueren.
4 Lakini usiruhusu mtu yeyote kuleta mashtaka; msiruhusu mtu yeyote ahukumu mtu mwingine. Kwa maana ninyi ndio makuhani, ninaowashtaki.
“Pero que nadie presente una acusación, ni que nadie acuse; porque tu pueblo es como los que acusan a un sacerdote.
5 Ninyi makuhani mtajikwaa wakati wa mchana; manabii pia watajikwaa pamoja nanyi usiku, nami nitamwangamiza mama yako.
En el día tropezarás, y el profeta también tropezará contigo en la noche; y destruiré a tu madre.
6 Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu ya ukosefu wa maarifa. Kwa sababu makuhani wamekataa maarifa, nami nitawakataa msiwe makuhani kwangu. Kwa sababu umesahau sheria yangu, ingawa mimi ni Mungu wako, nami pia nitasahau watoto wako.
Mi pueblo es destruido por falta de conocimiento. Porque has rechazado el conocimiento, yo también te rechazaré, para que no seas un sacerdote para mí. Porque has olvidado la ley de tu Dios, También olvidaré a sus hijos.
7 Makuhani wengi waliongezeka, zaidi walifanya dhambi dhidi yangu. Walibadilisha heshima zao kwa aibu.
Como se multiplicaron, así pecaron contra mí. Cambiaré su gloria en vergüenza.
8 Wanajilisha dhambi ya watu wangu; wao ni wenye tamaa zaidi ya uovu wao.
Se alimentan del pecado de mi pueblo, y ponen su corazón en su iniquidad.
9 Itakuwa sawa kwa watu kama kwa makuhani: nitawaadhibu wote kwa matendo yao; Nitawalipa kwa matendo yao.
Será como la gente, como el sacerdote; y los castigaré por sus caminos, y les pagará por sus actos.
10 Watakula lakini hawatashiba; watafanya uzinzi lakini hawataongezeka, kwa sababu wamekwenda mbali na Bwana.
Comerán y no tendrán suficiente. Harán de prostituta, y no aumentarán; porque han dejado de escuchar a Yahvé.
11 Wanapenda uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao.
La prostitución, el vino y el vino nuevo quitan el entendimiento.
12 Watu wangu hutaka shauri kwa sanamu zao za mbao, na fimbo zao za kutembelea huwapa unabii. Kwa maana mawazo ya uasherati yamewadanganya, na wamefanya kama makahaba badala ya kuwa mwaminifu kwa Mungu wao.
Mi pueblo consulta con su ídolo de madera, y responder a un palo de madera. En efecto, el espíritu de la prostitución les ha llevado por el mal camino, y han sido infieles a su Dios.
13 Wanatoa sadaka juu ya milima na kuteketeza uvumba kwenye milima, chini ya mialoni, milibua na miela, kwa sababu kivuli ni nzuri. Basi binti zenu hufanya uasherati, na binti zenu wanazini.
Sacrifican en las cimas de las montañas, y quemar incienso en las colinas, bajo las encinas, los álamos y los terebintales, porque su sombra es buena. Por lo tanto, sus hijas hacen el papel de prostituta, y tus novias cometen adulterio.
14 Mimi siwaadhibu binti zako wakati wanachagua kutenda uasherati, wala binti zako wakati wazini. Kwa maana wanaume pia wanajitoa kwa makahaba, na hutoa dhabihu ili waweze kufanya vitendo vya uasherati na makahaba. Hivyo watu wasiofahamu wataangamizwa.
No castigaré a tus hijas cuando jueguen a la prostitución, ni a sus novias cuando cometen adulterio; porque los hombres se prostituyen, y sacrifican con las prostitutas del santuario; por lo que la gente sin entendimiento llegará a la ruina.
15 Ingawa wewe, Israeli, umefanya uzinzi, lakini Yuda asiwe na hatia. Ninyi msiende Gilgali; msiende hadi Beth Aven. Wala msiape, “Aishivyo Bwana.”
“Aunque tú, Israel, te hagas la prostituta, pero no dejes que Judá se ofenda; y no vengas a Gilgal, ni subir a Beth Aven, ni jurar: “Vive Yahvé”.
16 Kwa maana Israeli amefanya ukaidi, kama ndama mkaidi. Je! Bwana anaweza kuwaleta kwenye malisho kama kondoo mahali penye nafasi?
Porque Israel se ha comportado con extrema terquedad, como una vaquilla obstinada. Entonces, ¿cómo los alimentará Yahvé como a un cordero en un prado?
17 Efraimu alijiunga na sanamu; mwache peke yake.
Efraín está unido a los ídolos. ¡Déjalo en paz!
18 Hata wakati kileo chao kimeondoka wakaendelea kufanya uzinzi; watawala wake hupenda sana aibu yao.
Su bebida se ha agriado. Hacen el papel de prostituta continuamente. Sus gobernantes aman su vergonzoso camino.
19 Upepo utamfunga kwa mabawa yake; nao wataona aibu kwa sababu ya dhabihu zao.
El viento la ha envuelto en sus alas; y se verán defraudados a causa de sus sacrificios.

< Hosea 4 >