< Hosea 4 >
1 Sikilizeni neno la Bwana, enyi watu wa Israeli. Bwana ana mashtaka dhidi ya wenyeji wa nchi, kwa sababu hakuna ukweli au uaminifu wa agano, hakuna ujuzi wa Mungu katika nchi.
to hear: hear word LORD son: descendant/people Israel for strife to/for LORD with to dwell [the] land: country/planet for nothing truth: faithful and nothing kindness and nothing knowledge God in/on/with land: country/planet
2 Kuna laana, uongo, mauaji, wizi na uzinzi. Watu wamevunja mipaka yote, na damu inakuja baada ya damu.
to swear and to deceive and to murder and to steal and to commit adultery to break through and blood in/on/with blood to touch
3 Kwa hiyo nchi inakauka, na kila mtu aliyeishi ndani yake anaangamia; wanyama katika mashamba na ndege angani, hata samaki katika bahari, wanaondolewa.
upon so to mourn [the] land: country/planet and to weaken all to dwell in/on/with her in/on/with living thing [the] land: country and in/on/with bird [the] heaven and also fish [the] sea to gather
4 Lakini usiruhusu mtu yeyote kuleta mashtaka; msiruhusu mtu yeyote ahukumu mtu mwingine. Kwa maana ninyi ndio makuhani, ninaowashtaki.
surely man: anyone not to contend and not to rebuke man: anyone and people your like/as to contend priest
5 Ninyi makuhani mtajikwaa wakati wa mchana; manabii pia watajikwaa pamoja nanyi usiku, nami nitamwangamiza mama yako.
and to stumble [the] day and to stumble also prophet with you night and to cease mother your
6 Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu ya ukosefu wa maarifa. Kwa sababu makuhani wamekataa maarifa, nami nitawakataa msiwe makuhani kwangu. Kwa sababu umesahau sheria yangu, ingawa mimi ni Mungu wako, nami pia nitasahau watoto wako.
to cease people my from without [the] knowledge for you(m. s.) [the] knowledge to reject and to reject you from to minister to/for me and to forget instruction God your to forget son: child your also I
7 Makuhani wengi waliongezeka, zaidi walifanya dhambi dhidi yangu. Walibadilisha heshima zao kwa aibu.
like/as to multiply they so to sin to/for me glory their in/on/with dishonor to change
8 Wanajilisha dhambi ya watu wangu; wao ni wenye tamaa zaidi ya uovu wao.
sin people my to eat and to(wards) iniquity: crime their to lift: trust soul: appetite his
9 Itakuwa sawa kwa watu kama kwa makuhani: nitawaadhibu wote kwa matendo yao; Nitawalipa kwa matendo yao.
and to be like/as people like/as priest and to reckon: punish upon him way: conduct his and deed his to return: pay to/for him
10 Watakula lakini hawatashiba; watafanya uzinzi lakini hawataongezeka, kwa sababu wamekwenda mbali na Bwana.
and to eat and not to satisfy to fornicate and not to break through for [obj] LORD to leave: forsake to/for to keep: look at
11 Wanapenda uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao.
fornication and wine and new wine to take: take heart
12 Watu wangu hutaka shauri kwa sanamu zao za mbao, na fimbo zao za kutembelea huwapa unabii. Kwa maana mawazo ya uasherati yamewadanganya, na wamefanya kama makahaba badala ya kuwa mwaminifu kwa Mungu wao.
people my in/on/with tree: wood his to ask and rod his to tell to/for him for spirit fornication to go astray and to fornicate from underneath: instead God their
13 Wanatoa sadaka juu ya milima na kuteketeza uvumba kwenye milima, chini ya mialoni, milibua na miela, kwa sababu kivuli ni nzuri. Basi binti zenu hufanya uasherati, na binti zenu wanazini.
upon head: top [the] mountain: mount to sacrifice and upon [the] hill to offer: offer underneath: under oak and poplar and oak for pleasant shadow her upon so to fornicate daughter your and daughter-in-law: bride your to commit adultery
14 Mimi siwaadhibu binti zako wakati wanachagua kutenda uasherati, wala binti zako wakati wazini. Kwa maana wanaume pia wanajitoa kwa makahaba, na hutoa dhabihu ili waweze kufanya vitendo vya uasherati na makahaba. Hivyo watu wasiofahamu wataangamizwa.
not to reckon: punish upon daughter your for to fornicate and upon daughter-in-law: bride your for to commit adultery for they(masc.) with [the] to fornicate to separate and with [the] cult prostitute to sacrifice and people not to understand to ruin
15 Ingawa wewe, Israeli, umefanya uzinzi, lakini Yuda asiwe na hatia. Ninyi msiende Gilgali; msiende hadi Beth Aven. Wala msiape, “Aishivyo Bwana.”
if to fornicate you(m. s.) Israel not be guilty Judah and not to come (in): come [the] Gilgal and not to ascend: rise Beth-aven Beth-aven and not to swear alive LORD
16 Kwa maana Israeli amefanya ukaidi, kama ndama mkaidi. Je! Bwana anaweza kuwaleta kwenye malisho kama kondoo mahali penye nafasi?
for like/as heifer to rebel to rebel Israel now to pasture them LORD like/as lamb in/on/with broad
17 Efraimu alijiunga na sanamu; mwache peke yake.
to unite idol Ephraim to rest to/for him
18 Hata wakati kileo chao kimeondoka wakaendelea kufanya uzinzi; watawala wake hupenda sana aibu yao.
to turn aside: depart liquor their to fornicate to fornicate to love: lover to love: lover dishonor shield her
19 Upepo utamfunga kwa mabawa yake; nao wataona aibu kwa sababu ya dhabihu zao.
to constrain spirit: breath [obj] her in/on/with wing her and be ashamed from sacrifice their