< Hosea 3 >
1 Bwana akaniambia, “Nenda tena, mpendeni mwanamke, aliyependwa na mumewe; lakini ni mzinzi. Mpende kama mimi, Bwana, ninavyowapenda watu wa Israeli, ingawa wanaigeukia miungu mingine na kupenda mikate ya zabibu.”
TUHAN berkata kepadaku, "Pergilah lagi dan cintailah seorang wanita yang suka berzinah. Cintailah dia seperti Aku juga mencintai orang Israel sekalipun mereka meninggalkan Aku dan menyembah ilah-ilah lain serta suka mempersembahkan kue kismis kepada berhala."
2 Kwa hiyo nimemnunulia mwenyewe kwa vipande kumi na tano vya fedha na homeri na letheki ya shayiri.
Maka aku membayar lima belas uang perak dan 150 kilogram gandum untuk mendapat wanita itu.
3 Nilimwambia, “Lazima uishi pamoja nami siku nyingi. Huwezi kuwa kahaba au kuwa na mtu mwingine yeyote. Kwa njia hiyo hiyo, nitakuwa pamoja nanyi.”
Aku berkata kepadanya bahwa ia harus menunggu aku untuk waktu yang lama. Selama waktu itu ia tak boleh melacur atau berzinah, dan aku pun tak akan mendekati dia.
4 Kwa maana wana wa Israeli wataishi kwa siku nyingi bila mfalme, mtu mkuu, dhabihu, nguzo ya mawe, efodi au sanamu za nyumbani.
Begitulah halnya dengan bangsa Israel; lama sekali mereka harus hidup tanpa raja atau pemimpin, tanpa kurban atau tugu-tugu keramat, tanpa berhala-berhala atau jimat-jimat yang memberitahukan rahasia masa depan.
5 Baadaye watu wa Israeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Na katika siku za mwisho, watakuja wakitetemeka mbele za Bwana na wema wake.
Tapi akan datang masanya bangsa Israel kembali kepada TUHAN Allah mereka, dan kepada raja mereka dari keturunan Daud. Lalu mereka akan takut dan hormat kepada TUHAN, serta menerima berkat-berkat-Nya.