< Hosea 14 >

1 Israeli, rudi kwa Bwana, Mungu wako, kwa kuwa umeanguka kwa sababu ya uovu wako.
Izraelu, nawróć się całkowicie do PANA, swego Boga. Upadłeś bowiem z powodu swojej nieprawości.
2 Chukueni maneno pamoja nanyi na mrudieni Yahweh. Mwambieni, “Ondoa uovu wetu wote, uyakubali mema, ili tuweze kukupa matunda ya midomo yetu.
Weźcie ze sobą słowa i zawróćcie do PANA. Mówcie do niego: Przebacz całą naszą nieprawość i daj to, co dobre, wtedy oddamy ci cielce naszych warg.
3 Ashuru haitatuokoa; hatutapanda farasi kwenda vitani. Hatuwezi tena kuiambia kazi ya mikono yetu, 'ninyi ni miungu yetu,' kwa maana kwako mtu asiye na baba hupata huruma.”
Asyria nas nie wybawi, nie będziemy jeździć na koniach i nie będziemy już mówili do dzieł naszych rąk: [Wy jesteście] naszymi bogami. W tobie bowiem sierota znajduje miłosierdzie.
4 'Nitawaponya kugeuka kwao; Nami nitawapenda kwa moyo, kwa maana hasira yangu itaondoka kwake.
Uzdrowię ich odstępstwo i umiłuję ich dobrowolnie, bo mój gniew odwrócił się od nich.
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli; atachanua kama maua na kuchukua mizizi kama mwerezi nchini Lebanoni.
Będę dla Izraela jak rosa, [tak] że rozkwitnie jak lilia i zapuści korzenie jak Liban.
6 Matawi yake yataenea; Uzuri wake utakuwa kama mizeituni, na harufu yake kama mierezi ya Lebanoni.
Jego gałęzie rozrosną się i jego piękno będzie jak drzewo oliwne, a jego woń jak Liban.
7 Watu wanaoishi katika kivuli chake watarejea; watafufuliwa kama nafaka na maua kama mizabibu. Utukufu wake utakuwa kama divai ya Lebanoni.
Wrócą, aby siedzieć pod jego cieniem, ożyją [jak] zboże i rozkwitną jak winorośl, ich sława będzie jak wino Libanu.
8 Efraimu, nifanye nini tena na sanamu? Mimi nitamjibu na kumtunza. Mimi ni kama mberoshi majani yake ni ya kijani daima; kutoka kwangu huja matunda yako.”
Efraim [powie]: Cóż mi już do bożków? Ja [cię] wysłucham i wejrzę na ciebie. Ja jestem jak zielona jodła, ode mnie pochodzi twój owoc.
9 Nani mwenye busara ili aelewe mambo haya? Nani anaelewa mambo haya ili awatambue? Kwa kuwa njia za Bwana ni sawa, na wenye haki watatembea ndani yao, lakini waasi wataanguka ndani yake.
Kto mądry, niech to zrozumie, a [kto] roztropny, niech to pozna. Drogi PANA bowiem [są] proste; sprawiedliwi po nich będą chodzić, ale przestępcy na nich upadną.

< Hosea 14 >