< Hosea 13 >
1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
По словеси Ефремову оправдания прия сей во Израили, и положи я Ваалови, и умре.
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
И ныне приложиша согрешати и сотвориша себе слияние от злата и сребра своего по образу идолов, дела художников совершена: им сии глаголют: пожрите человеков, оскудеша бо телцы.
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
Сего ради будут яко облак утренний, якоже роса утренняя идущи, якоже плевы с тока (и прах с ветвия) развеваемый вихром, якоже дым из трубы.
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
Аз же Господь Бог твой утверждаяй небо и созидаяй землю, Егоже руце создасте все воинство небесное, и не показах ти их, еже ходити вслед их: и Аз изведох тя из земли Египетския, и бога разве Мене да не познаеши, и спасающаго несть разве Мене.
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
Аз пасох тя в пустыни на земли ненаселенней,
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
на пажитех их, и насытишася до исполнения, и вознесошася сердца их, сего ради забыша Мя.
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
И буду им яко панфирь, и яко рысь на пути Ассириев:
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
и срящу их аки медведица лишаема, и разрушу соключение сердец их: и поядят я скимни дубравнии, и зверие польстии расторгнут я.
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
В погибели твоей, Израилю, кто поможет тебе?
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
Где царь твой сей? Той да спасет тя во всех градех твоих: и да судит ти, о немже глаголал еси: даждь ми царя и князя.
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
И дах тебе царя во гневе Моем, и утвержахся в ярости Моей.
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
Согромаждение неправды Ефрем, сокровен грех его:
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
болезни аки раждающия приидут ему: сей сын немудрый, зане ныне не устоит в сокрушении чад.
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
От руки адовы избавлю я и от смерти искуплю я: где пря твоя, смерте? Где остен твой, аде? Утешение скрыся от очию Моею: (Sheol )
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
зане сей между братиями разлучит: наведет Господь ветр зноен из пустыни нань, и изсушит жилы его и опустошит источники его: сей изсушит землю его и вся сосуды его любимыя.
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
Погибнет Самариа, яко сопротивися и Богу своему: оружием падут сами, и младенцы их разбиются, и во утробе имущыя их разсядутся.