< Hosea 13 >

1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
Quand Ephraïm élevait la voix, on tremblait; il était grand en Israël. Il a prévariqué en adorant Baal, et il a péri.
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
Et maintenant, ils redoublent leurs fautes; ils se sont fait des idoles avec leur argent, et avec leur industrie, des images; tout cela c’est œuvre d’artiste. C’Est à elles qu’ils s’adressent; et pour rendre hommage à des veaux, ils immolent des hommes.
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
Eh bien! ils seront comme la brume du matin et comme la rosée qui se dissipe de bonne heure; comme le fétu tourbillonne hors de l’aire, comme la fumée s’échappe par une lucarne.
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
C’Est pourtant moi, l’Eternel, qui fus ton Dieu dès le pays d’Egypte; tout autre Dieu que moi devait t’être inconnu, et il n’est pas de libérateur en dehors de moi.
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
C’Est moi qui ai veillé sur toi dans le désert, sur les plages brûlantes.
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
Comme ils recevaient la pâture, ils la consommaient; une fois repus, leur cœur s’enfla, et alors ils m’oublièrent.
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
Aussi suis-je devenu pour eux comme un lion; comme un tigre, je guette au bord du chemin.
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
Je fondrai sur eux comme une ourse privée de ses petits, je déchirerai l’enveloppe de leur cœur, et je m’en repaîtrai comme un léopard: les animaux des champs les mettront en pièces.
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
Ce qui t’a perdu, ô Israël, c’est que tu t’es insurgé contre moi, contre ton protecteur.
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
Où donc est ton roi? Qu’il te défende contre tant d’ennemis! Où sont tes juges, puisque tu disais "Donne-moi un roi et des chefs!"
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
Je te donne un roi dans ma colère, et je le reprends dans mon indignation.
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
Les méfaits d’Ephraïm sont fixés dans mon esprit, ses péchés sont mis en réserve.
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
Les douleurs d’une femme en travail lui arrivent; enfant qu’il est, il n’a point de raison, autrement il ne resterait pas attaché au siège de l’enfantement.
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
Et je les délivrerais du sépulcre! je les sauverais de la mort! Où sont tes fléaux, ô Mort? Où est ton œuvre de destruction, ô Sépulcre? Que la clémence se dérobe à ma vue! (Sheol h7585)
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
Dût-il porter des fruits abondants parmi ses frères, il viendra le vent d’Orient, le vent de l’Eternel, montant du fond du désert, qui tarira sa source et mettra à sec sa fontaine. Il enlèvera ce dépôt de tous les objets précieux.
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
Périsse Samarie, puisqu’elle a trahi son Dieu! Ils tomberont sous le glaive, leurs jeunes enfants seront mis en pièces, leurs femmes enceintes éventrées.

< Hosea 13 >