< Hosea 13 >

1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
For Effraym spak, hidousnesse assailide Israel; and he trespasside in Baal, and was deed.
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
And now thei addiden to do synne, and maden to hem a yotun ymage of her siluer, as the licnesse of idols; al is the makyng of crafti men. To these thei seien, A! ye men, offre, and worschipe caluys.
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
Therfor thei schulen be as a morewtid cloude, and as the deew of morewtid, that passith forth, as dust rauyschide bi whirlewynd fro the corn floor, and as smoke of a chymenei.
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
Forsothe Y am thi Lord God, `that ledde thee fro the loond of Egipt; and thou schalt not knowe God, outakun me, and no sauyour is, outakun me.
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
Y knewe thee in the desert, in the lond of wildirnesse.
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
Bi her lesewis thei weren fillid, and hadden abundaunce; thei reisiden her herte, and foryaten me.
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
And Y schal be as a lionesse to hem, as a parde in the weye of Assiriens.
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
Y as a femal bere, whanne the whelps ben rauyschid, schal mete hem; and schal al to-breke the ynnere thingis of the mawe of hem. And Y as a lioun schal waaste hem there; a beeste of the feeld schal al to-rende hem.
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
Israel, thi perdicioun is of thee; thin help is oneli of me.
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
Where is thi kyng? moost saue he thee now in alle thi citees; and where ben thi iugis, of whiche thou seidist, Yyue thou to me a kyng, and princes?
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
Y schal yyue to thee a kyng in my strong veniaunce, and Y schal take awei in myn indignacioun.
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
The wickidnesse of Effraym is boundun togidere; his synne is hid.
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
The sorewis of a womman trauelynge of child schulen come to hym; he is a sone not wijs. For now he schal not stonde in the defoulyng of sones.
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
Y schal delyuere hem fro the hoond of deeth, and Y schal ayenbie hem fro deth. Thou deth, Y schal be thi deth; thou helle, Y schal be thi mussel. (Sheol h7585)
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
Coumfort is hid fro myn iyen, for he schal departe bitwixe britheren. The Lord schal brynge a brennynge wynd, stiynge fro desert; and it schal make drie the veynes therof, and it schal make desolat the welle therof; and he schal rauysche the tresour of ech desirable vessel.
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
Samarie perische, for it stiride his God to bittirnesse; perische it bi swerd. The litle children of hem be hurtlid doun, and the wymmen with child therof be koruun.

< Hosea 13 >