< Hosea 13 >
1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
like/as to speak: speak Ephraim trembling to lift: exalt he/she/it in/on/with Israel and be guilty in/on/with Baal and to die
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
and now to add to/for to sin and to make to/for them liquid from silver: money their like/as understanding their idol deed: work artificer all his to/for them they(masc.) to say to sacrifice man calf to kiss [emph?]
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
to/for so to be like/as cloud morning and like/as dew to rise to go: went like/as chaff to rage from threshing floor and like/as smoke from window
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
and I LORD God your from land: country/planet Egypt and God exception me not to know and to save nothing lest me
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
I to know you in/on/with wilderness in/on/with land: country/planet drought
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
like/as pasturing their and to satisfy to satisfy and to exalt heart their upon so to forget me
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
and to be to/for them like lion like/as leopard upon way: journey to see
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
to meet them like/as bear childless and to tear enclosure heart their and to eat them there like/as lion living thing [the] land: wildlife to break up/open them
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
to ruin you Israel for in/on/with me in/on/with helper your
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
where? king your then and to save you in/on/with all city your and to judge you which to say to give: give [emph?] to/for me king and ruler
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
to give: give to/for you king in/on/with face: anger my and to take: take in/on/with fury my
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
to constrain iniquity: crime Ephraim to treasure sin his
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
pain to beget to come (in): come to/for him he/she/it son: child not wise for time not to stand: stand in/on/with birth son: child
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
from hand: power hell: Sheol to ransom them from death to redeem: redeem them where? pestilence your death where? destruction your hell: Sheol repentance to hide from eye my (Sheol )
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
for he/she/it son: descendant/people brother: male-sibling be fruitful to come (in): come east spirit: breath LORD from wilderness to ascend: rise and to wither fountain his and to dry spring his he/she/it to plunder treasure all article/utensil desire
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
be guilty Samaria for to rebel in/on/with God her in/on/with sword to fall: kill infant their to dash in pieces and pregnant his to break up/open