< Hosea 13 >
1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
When Ephraim used to speak there was trembling; a prince was he in Israel. But he incurred guilt through Baal and died.
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
And now they go on sinning. They make for themselves molten gods – idols of silver, skillfully made, wholly the work of smiths. Yet to such they sacrifice! And they who sacrifice kiss calf idols!
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
Therefore they will be like the morning mist, like the dew that early disappears, like the chaff which blows away from the threshing floor, like the smoke from the window.
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
Yet it was I, the Lord your God, ever since the land of Egypt, you know no other god but me, nor has there been any savior except me.
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
It was I who shepherded you in the wilderness, in the land of burning heat.
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
When they were pastured they became full, when they were full their hearts became proud. Therefore they forgot me!
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
So now I will be to them like a lion, like a leopard will I lay in wait by the path.
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
I will fall upon them like a bear robbed of her cubs, I will tear open their chests, like a lion will devour them, and like a wild beast will tear them in pieces.
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
You are destroyed, Israel, by me, your only helper.
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
I want to rule you! Where are your princes in your cities, those of whom you demanded, “Give me kings and princes.”
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
I give you kings in my anger, and take them away in my wrath.
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
Ephrahn’s iniquity is gathered up, his sin is laid by in store.
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
The pangs of childbirth come upon him, but he is an unwise child. For this is no time to refuse to leave the womb!
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
Should I deliver them from the power of Sheol? Should I redeem them from death? Death, where are your plagues? Sheol, where is your pestilence? Compassion is forever hidden from my eyes. (Sheol )
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
Though he is flourishing among his brothers, there will come an east wind, the Lord’s wind, coming up from the wilderness. His fountain will dry up, his spring will be parched. The wind will strip the treasury, all the precious things.
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
Samaria will bear her guilt, for she has rebelled against her God. They will fall by the sword, their children dashed to pieces, their pregnant women ripped open.