< Hosea 1 >

1 Hili ni neno la Bwana lililofika kwa Hosea mwana wa Beeri siku za Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi, mfalme wa Israeli.
آحاز و حزقیا پادشاهان یهودا و در ایام یربعام بن یوآش پادشاه اسرائیل، بر هوشع بن بئیری نازل شد.۱
2 Wakati Bwana alipozungumza kwanza kupitia Hosea, akamwambia, “Nenda ukajitwalie mke ambaye ni kahaba. Atakuwa na watoto ambao ni matokeo ya ukahaba wake. Kwa maana nchi inafanya uzinzi mkubwa kwa kumwacha Bwana.”
ابتدای کلام خداوند به هوشع. خداوند به هوشع گفت: «برو و زنی زانیه و اولاد زناکار برای خود بگیر زیرا که این زمین از خداوند برگشته، سخت زناکار شده‌اند.»۲
3 Basi Hosea akaenda akamwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba, akazaa mtoti mwanamume.
پس رفت و جومر دختردبلایم را گرفت و او حامله شده، پسری برایش زایید.۳
4 Bwana akamwambia Hosea, Mwite jina lake Yezreeli. Kwa maana kwa muda mfupi nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa sababu ya kumwaga damu huko Yezreeli; nami nitamaliza ufalme wa nyumba ya Israeli.
و خداوند وی را گفت: «او را یزرعیل نام بنه زیرا که بعد از اندک زمانی انتقام خون یزرعیل را از خاندان ییهو خواهم گرفت و مملکت خاندان اسرائیل را تلف خواهم ساخت.۴
5 Itatokea siku ile nitakapovunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.
و در آن روزکمان اسرائیل را در وادی یزرعیل خواهم شکست.»۵
6 Gomeri akachukua mimba tena akamzaa binti. Ndipo Bwana akamwambia Hosea, “Mwite jina lake Lo Ruhama; kwa maana sitawahurumia tena nyumba ya Israeli, nisije nikawasamehe kwa njia yoyote.
پس بار دیگر حامله شده، دختری زایید و اووی را گفت: «او را لوروحامه نام بگذار، زیرا باردیگر بر خاندان اسرائیل رحمت نخواهم فرمود، بلکه ایشان را از میان بالکل خواهم برداشت.۶
7 Hata hivyo nitawahurumia nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa mwenyewe, Bwana, Mungu wao. Sitawaokoa kwa upinde, upanga, vita, farasi, au wapanda farasi. '
لیکن بر خاندان یهودا رحمت خواهم فرمود وایشان را به یهوه خدای ایشان نجات خواهم داد وایشان را به کمان و شمشیر و جنگ و اسبان وسواران نخواهم رهانید.»۷
8 Baada ya Gomeri kumwachisha Lo Ruhama, alipata mimba na kuzaa mtoto mwingine mwanamume.
و چون لوروحامه را از شیر بازداشته بود، حامله شده، پسری زایید.۸
9 Ndipo Bwana akasema, “Mwite jina la Lo Ami; kwa kuwa ninyi si watu wangu, wala mimi si Mungu wenu.”
و او گفت: «نام او رالوعمی بخوان زیرا که شما قوم من نیستید و من (خدای ) شما نیستم.۹
10 Hata hivyo idadi ya watu wa Israeli itakuwa kama mchanga wa bahari, ambayo haiwezi kupimwa au kuhesabiwa. Itakuwa pale ambapo waliambiwa, “Ninyi si watu wangu,” wataambiwa, “Ninyi ni watu wa Mungu aliye hai.”
لیکن شماره بنی‌اسرائیل مثل ریگ دریا خواهد بود که نتوان پیمود و نتوان شمرد و در مکانی که به ایشان گفته می‌شد شماقوم من نیستید، در آنجا گفته خواهد شد پسران خدای حی می‌باشید.۱۰
11 Watu wa Yuda na watu wa Israeli watakusanyika pamoja. Wao wataweka kiongozi mmoja wao wenyewe, na watatoka kutoka nchi, kwa maana itakuwa siku ya Yezreeli kuu.
و بنی یهودا وبنی‌اسرائیل با هم جمع خواهند شد و یک رئیس به جهت خود نصب نموده، از آن زمین برخواهندآمد زیرا که روز یزرعیل، روز عظیمی خواهدبود.»۱۱

< Hosea 1 >