< Wahebrania 9 >
1 Sasa hata agano la kwanza lilikuwa na sehemu ya ibada hapa duniani na taratibu za ibada.
Bhai, malagano ga ntai gashinkukola ikubho yakwe ya kwaajuga a Nnungu, na liema lya ukonjelo lya pa shilambolyo.
2 Kwani katika hema kulikuwa na chumba kimeandaliwa, chumba cha nje, paliitwa mahali patakatifu. Katika eneo hili palikuwa na kinara cha taa, meza na mikate ya wonyesho.
Pabha liema lyashinkualaywa, kati ja kungoposhelo pujashemwaga pa Ukonjelo. Mwenemo pashinkupagwa pabhishilwe kandili, na mesha, na mikate ja ukonjelo.
3 Na nyuma ya pazia la pili kulikuwa na chumba kingine, paliitwa mahali patakatifu zaidi.
Kunyuma ukungushi, jashinkupagwa kati jina jashemwaga pa Ukonjelo gwa Puya.
4 Mlikuwemo madhabahu ya dhahabu kwa kuvukizia uvumba. Pia mlikuwemo sanduku la agano, ambalo lilikuwa limejengwa kwa dhahabu tupu. Ndani yake kulikuwa na bakuli la dhahabu lenye manna, fimbo ya Haruni iliyoota majani, na zile mbao za mawe za agano.
Mwenemo mwashinkupagwa shitala sha shaabhu sha tutumishiya lubhani na lishanduku lya malagano, lipashilwe shaabhu mmbali yowe. Nkati lyene lishandukulyo, lyashinkupagwa shibhiga shipashilwe shaabhu shatajilwe mana na ntindisho gwa a Aluni gwa ipuka na ibhao ibhili ya maganga yajandikwe malagano.
5 Juu ya sanduku la agano maumbo ya maserafi wa utukufu wafunika mabawa yao mbele ya kiti cha upatanisho, ambacho kwa sasa hatuwezi kuelezea kwa kina.
Panani lishandukulyo yashinkupagwa igobhi ibhili ya malaika ya ukonjelo gwa a Nnungu, mapapiko gabhonji galibhika nng'wili pa leshelela yambi. Ikabheje nnaino nngabha malanga ga talashiya genego kwa kaje.
6 Baada ya vitu hivi kuwa vimekwisha andaliwa, Makuhani kawaida huingia chumba cha nje cha hema kutoa huduma zao.
Bhai nnei ni shiyashite pangwa indu yowe, bhaabhishila bhatendaga jinjilangana kila lyubha nniema lya palanga kuutenda ikubho yabhonji ya kwaajuga a Nnungu,
7 Lakini kuhani mkuu huingia kile chumba cha pili pekee mara moja kila mwaka, na pasipo kuacha kutoa dhabihu kwa ajili yake binafsi, na kwa dhambi za watu walizozitenda pasipo kukusudia.
Ikabheje bhakulungwa bhaabhishila jikape bhajinjilaga nniema lya bhili, kamo kwa shaka. Bhatendaga pinjikwa kupeleka minyai ja bhannyama, jibhashoyaga kwa ligongo lya yambi yabho bhayene, na yambi ya bhandunji ibhatendilenje gwangali kumumanya.
8 Roho Mtakatifu anashuhudia kwamba, njia ya mahali patakatifu zaidi bado haijafunuliwa kwa vile ile hema la kwanza bado linasimama.
Kwa nneyo, Mbumu jwa Ukonjelo atendaga langula kuti mpanda gwa jinjila pa Ukonjelo Gwa puya, gwaaliji ukanabhe ugulwa mobha gowe ga lonjeya kwa liema lya ntai.
9 Hili ni kielelezo cha muda huu wa sasa. Vyote zawadi na dhabihu ambavyo vinatolewa sasa haviwezi kukamilisha dhamiri ya anayeabudu.
Genego gashinkubha shilanda sha mobha ga nnaino gano, shilanguya kuti mbepei na yukilo, ikakuntenda mundu atindibhalila akamilishe muntima.
10 Ni vyakula na vinywaji pekee vimeunganishwa katika namna ya taratibu za ibada ya kujiosha. Vyote hivi vilikuwa taratibu za kimwili vilivyokuwa vimeandaliwa hadi ije amri mpya itakayowekwa mahali pake.
Yene yoweyo ni shalia ya nshiilu, ga yalya, na ya papila, na namuna ja nabha. Yeneyo yashinkuamulishwa kukagulwa mpaka mobha a Nnungu pushibhaalaye indu yowe gwa ambi.
11 Kristo alikuja kama kuhani mkuu wa mambo mazuri ambayo yamekuja. kupitia ukuu na ukamilifu wa hema kuu ambayo haikufanywa na mikono ya watu, ambayo si wa ulimwengu huu ulioumbwa.
Ikabheje a Kilishitu gubhaishe, bhali bhakulungwa bhaabhishila bha indu ya mmbone iishe nnaino. Bhenebho gubhapite nniema lya kamilika lyangaalaywa kwa makono ga bhandu, yani nngabha liema lya pa shilambolyo pano.
12 Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios )
Bhashinkujinjila pa Ukonjelo kaje kamope gubhapeleshe minyai, nngabha ja mmbui na ng'ombe, ikabhe minyai jabho bhayene, nkupinga tugombolwe piti piti kwa bhei jikulungwa. (aiōnios )
13 Kama kwa damu ya mbuzi na mafahari na kunyunyiziwa kwa majivu ya ndama katika hao wasiosafi walitengwa kwa Mungu na kufanya miili yao safi,
Bhandu bhalebhilenje bhashinkutakaywanga kwa mishiywa minyai ja ng'ombe na mmbui, na liu lya litumbwe lya ng'ombe lya likolo lyalitiniywe.
14 Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios )
Bhai kwa minyai ja a Kilishitu indu yaikulungwa ikatendeka? Kwa mashili gaka Mbumu jwa pitipiti, a Kilishitu bhashinkwiishoya bhayene kubha mbepei ja ukonjelo kwa a Nnungu. Minyai jabho shijitutakaye ng'aniyo yetu ya muntima, ipeleshela shiwo, nkupinga twaatumishile a Nnungu bhakwete gumi. (aiōnios )
15 Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios )
Kwa nneyo a Kilishitu ni bhaalundanya bha malagano ga ambi, na bhene bhashemilwenje na a Nnungu, shibhaposhelanje ulishi gwa pitipiti gubhabhishilwenje na a Nnungu. Shiwo shabho shinakwaagombolanga bhandunji na yambi yabhonji ibhatendilenje mobha ga malagano ga bhukala. (aiōnios )
16 Kama kuna agano linadumu, ni lazima kuthibitishwa kwa kifo cha mtu yule aliyelifanya.
Malajilo ga ulishi pugaakagulwa mpaka imanyishe kuti ajandishe jula awile.
17 Kwani agano linakuwa na nguvu mahali kunatokea mauti, kwa sababu hakuna nguvu wakati mwenye kulifanya akiwa anaishi.
Malajilo ga ulishi gakakola mashili mpaka awe alajile, pabha malajilo ga ulishi gakakola malombolelo ibhaga alajile ali jwankoto.
18 Hivyo hata si lile agano la kwanza lilikuwa limewekwa pasipo damu.
Pabha nkali malagano ga ntai gakanatendeshe gwangali jitika minyai.
19 Wakati Musa alipokuwa ametoa kila agizo la sheria kwa watu wote, alichukua damu ya ng'ombe na mbuzi, pamoja na maji, kitambaa chekundu, na hisopo, na kuwanyunyizia gombo lenyewe na watu wote.
A Musha pubhatandubhaga kulunguya ku bhandu bhowe, amuli yowe ya shalia, nitolaga minyai ja litumbwe lya ng'ombe na mmbui na mashi, na maamba ga nkongo gwa ishopo na mabhetya ganashe ga ngondolo, gubhamishiye nshitabhu sha malajilo shila, na ku bhandunji bhowe.
20 Kisha alisema, “Hii ni damu ya agano ambayo Mungu amewapa amri kwenu”.
A Musha bhalinkuti, “Jejino ni minyai ja malagano gunng'amulishwenje na a Nnungu.”
21 Katika hali ileile, aliinyunyiza damu juu ya hema na vyombo vyote vilivyotumiwa kwa huduma ya ukuhani.
Nneyo peyo a Musha gubhamishiye minyai jila nniema na indu itumika nkwaajuga a Nnungu
22 Na kulingana na sheria, karibu kila kitu kinatakaswa kwa damu. Pasipo kumwaga damu hakuna msamaha.
Elo, kwa tolelela shalia tome indu yowe inatakaywa kwa minyai, gwangali jitika minyai yambi ikaaleshelelwa.
23 Kwa hiyo ilikuwa lazima kwamba nakala za vitu vya mbinguni sharti visafishwe kwa hii dhabihu ya wanyama. Hata hivyo, vitu vya mbinguni vyenyewe vilipaswa kusafishwa kwa dhabihu iliyo bora zaidi.
Yene indui puyaaliji malinga shilanda sha indu ya kunnungu, yashinkutakaywa kwa shana nneyo. Ikabheje indu ya kunnungu inaapinjikwa kutakaywa na mbepei ya mmbone kupunda yeneyo.
24 Kwani Kristo hakuingia mahali patakatifu sana palipofanywa na mikono, ambayo ni nakala ya kitu halisi. Badala yake aliingia mbingu yenyewe, mahali ambapo sasa yuko mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.
Pabha a Kilishitu bhangajinjila pa Ukonjelo pashenjilwe na bhandunji, paliji shilanda sha kweli. Ikabhe bhashinkujinjila kunnungu kuyene, nnaino kubhali kwa a Nnungu, kwa ligongo lyetu uwe.
25 Hakuingia kule kwa ajili ya kujitoa sadaka kwa ajili yake mara kwa mara, kama afanyavyo kuhani mkuu, ambaye huingia mahali patakatifu zaidi mwaka baada ya mwaka pamoja na damu ya mwingine,
Bhakulungwa bhaabhishila bha Bhayaudi, bhanajinjila pa Ukonjelo kila shaka bhali bhajigele minyai jika nnyama. Ikabheje a Kilishitu bhangajinjila mwenemo nkupinga bhaishoye bhayene mbepei papagwinji,
26 kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn )
pabha ikaliji nneyo, a Kilishitu bhakapotekwe papagwinji kuumila kupanganywa kwa shilambolyo. Ikabheje nnaino, mobha pugabhandishila kumpelo, bhenebho bhashinkukoposhela kamope pubhaishoshiye bhayene kubha mbepei ja leshelela yambi. (aiōn )
27 Kama ilivyo kwa kila mtu kufa mara moja, na baada ya hiyo huja hukumu,
Bhai malinga shiikubha, mundu anawa kamope na awaga anaukumulwa na a Nnungu.
28 ndivyo hivyo Kristo naye ambaye alitolewa mara moja kuziondoa dhambi za wengi, atatokea mara ya pili, si kwa kusudi la kushughulikia dhambi, bali kwa ukombozi kwa wale wamgojeao kwa saburi.
Nneyo peyo, a Kilishitu na bhalabho bhashinkwiishoya bhayene kubha mbepei kamope, kwa ligongo lya leshelela ilebho ya bhandu bhabhagwinji. Pushibhaishe gwa bhili nngabha kuleshelela ilebho, ikabheje kukwaatapulanga bhene bhakwaalindanga kwa amu bhala.