< Wahebrania 7 >

1 Ilikuwa hivi Melkizedeki, mfalme wa Salemu, Kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwaua wafalme na akambariki.
Jhajhele naha Melkizedeki mfalme ghwa Salemu, Kuhani ghwa K'yara jhaajhele kunani, jhaabhonene ni Abrahamu ik'erebhuka kuhoma kubhakhoma bhafalme na ampelili.
2 Abrahamu alimpa moja ya kumi ya kila kitu alichokuwa amekiteka. Jina lake “Melkizedeki “maana yake” mfalme wa haki” na pia “mflame wa Salemu” ambayo ni “mfalme wa amani.”
Abrahamu alimpa moja jha kumi jha khila khenu kya amalili kukiteka. Lihina lya muene “Melkizedeki” ndabha jhiake” mfalme ghwa haki” ni kabhele “mfalme ghwa Salemu” ambajhe ndo “mfalme ghwa amani.”
3 Hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa maisha yake. Badala yake, anabakia kuhani milele, kama mwana wa Mungu.
Ajhelepi ni Dadijhe, ajhelepi ni nyinamunu, ajhelepi ni bhazazi ajhelepi ni mwanzo ghwa ligono wala mwishu ghwa maisha gha muene. Badala jhiake ibakila kuhani milele, kama mwana ghwa K'yara.
4 Sasa fikiria jinsi huyu mtu alivyokuwa mkuu. Mzazi wetu Abrahamu alimpa moja ya kumi ya vitu vizuri alivyovichukua vitani.
Henu fikirilayi jinsi munu ojho kyaajhele mbaha. Mzazi ghwa j'hoto Abrahamu ampelili moja jha kumi jha fenu finofu fyaafitolili ku ngondo.
5 Na hakika, ukoo wa Walawi waliopokea ofisi za kikuhani walikuwa na amri kutoka kwenye sheria kukusanya moja ya kumi kutoka kwa watu, ambayo ni, kutoka kwa Wairaeli wenzao, pamoja na kwamba wao, pia, ni ukoo kutoka kwa Abrahamu.
Na bhuhakika lukholo kwa Bhalawi bhabhajhamb'elili ofisi sya kikuhani bhajhele ni amri kuhoma ku sheria kubhonganiya moja jha kumi kuhoma kwa bhanu, ambajho ndo, kuhoma kwa Bhaisraeli bhaj'hinu, pamonga ni kwamba bhene, kabhele, ndo lukholo kuhoma kwa Abrahamu.
6 Lakini Melkizedeki, ambaye hakuwa wa ukoo kutoka kwa Walawi, alipokea moja ya kumi kutoka kwa Abrahamu, na akambariki, yeye aliyekuwa na ahadi.
Lakini Melkizedeki, ambajhe ajhelepi ni lukholo kuhoma kwa Bhalawi ajhamb'elili moja jha kumi kuhoma kwa Abrahamu, na ambariki, muene ajhele ni ahadi.
7 Hapo haikataliwi kwamba mtu mdogo hubarikiwa na mkubwa.
Apu j'hibelekelibhwalepi kwamba munu n'debe ibarikibhwa ni mbaha.
8 Kwa jambo hili mtu apokeaye moja ya kumi atakufa siku moja, lakini kwa jambo jingine mmoja aliyepokea moja ya kumi kwa Abrahamu ikaelezwa kama anayeishi.
Kwa lijambo e'le munu j'ha ij'hambelela moja j'ha kumi ibetakufwa ligono limonga, lakini kwa lijambo l'enge mjunu j'haapokili moja j'ha kumi kuhoma kwa Abrahamu akajhelekesibhwa kama kyajhiishi.
9 Na kwa namna ya kuzungumza, Lawi aliyepokea moja ya kumi, pia alilipa moja ya kumi kwa Abrahamu,
Ni kwa namna jha kulongela, Lawi j'haaj'hambelili moja j'ha kumi, kabhele al'epili moja j'ha kumi kwa Abrahamu,
10 kwa sababu Lawi alikuwa katika viuno vya baba yake Abrahamu wakati Melkizedeki alipokutana na Abrahamu.
kwa ndabha Lawi ajhele mu fiuno fya dadimunu Abrahamu bho Melkizedeki abhonene ni Abrahamu.
11 Sasa kama ukamilifu uliwezekana kupitia ukuhani wa Lawi, (hivyo chini yake watu hupokea sheria), kulikuwa na hitaji gani zaidi kwa kuhani mwingine kuinuka baada ya mfumo wa Melkizedeki, na siyo kuitwa baada ya mpangilio wa Haruni?
Henu kama bhukamilifu bhwawesekene kup'elela bhukuhani bhwa Lawi, (naha pasi a muene bhanu bhij'hamb'elela sheria), kwaj'hele ni lihitaji leleku kwa kuhani j'hongi kutupuka baada jha mfumu ghwa Melkizedeki, na sio kukutibhwa baada jha mpangililu bhwa Haruni?
12 Kwa hiyo ukuhani ukibadilika, hapana budi sheria nayo kubadilika.
Henu bhukuhani bhukasanusibhuajhi, ijhelepibudi kabhele sheria nij'hiene kusanisibhwa.
13 Kwa mmoja ambaye mambo haya yalisemwa kuhusu kabila jingine, kutoka kwake hakuna aliyehudumu madhabahuni.
Kwa mmonga ambajhe mambo agha jobhibhu kuhusu likabila l'enge, kuhoma kwa muene ajhelepi jhaadumuili mu madhabahu.
14 Sasa ni wazi kwamba Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila ambalo Musa hakutaja kuhusu makuhani.
Henu ndo bhuasi kujha Bwana bhitu ahomili mu Yuda, likabila ambalyo Musa alitajilepi kuhusu makuhani.
15 Na haya tusemayo ni wazi hasa ikiwa kuhani mwingine atatokea kwa mfano wa Melkizedeki.
Ni agha ghatwijobha ndo bhuasi kujha hasa jhikajhiaghe kuhani j'hongi ibetakuhomela kwa mfano ghwa Melkizedeki.
16 Kuhani huyu mpya siyo mmoja ambaye amekuwa kuhani juu ya msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mtu, lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyoweza kuharibika.
Kuhani ojho mpya sio mmonga ambajhe ajhele kuhani panani pa misingi ghya sheria syasihusiana ni bhuzao bhwa munu, lakini mu misingi ghya nghofu ghya maisha ghaghabhwesilepi khonangeka.
17 Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Mabadiliku agha ghishuhudila kuhusu muene: “Bhebhe ndo kuhani milele baada jha mfumo bhwa Melkizedeki.” (aiōn g165)
18 Kwa kuwa amri iliyotangulia iliwekwa pembeni kwa sababu ilikuwa dhaifu na haifai.
Kwa kujha amri jhaj'halongolili jhabhekibhu palubhafu kwandabha jhajhele dhaifu na j'hifwajheghe lepi.
19 Hivyo sheria haikufanya chochote kikamilifu. Isipokuwa, kulikuwa na ujasiri mzuri kwa hayo tunamsogelea Mungu.
Naha sheria j'habhombilepi kyokyoha kikamilifu. Isipokujha, kwajhele ni bhujasiri n'nofu kwa aghu tukan'hegela K'yara.
20 Na Ujasiri huu mzuri haukutokea pasipo kuzungumzia kiapo, kwa hili makuhani wengine hawakuchukua kiapo chochote.
Ni bhujasiri obho bhunofu bhwahomili lepi bila kulongelelela kiapu, kwa e'le makuhani bhamana bhatolili lepi kiapu kyokyoha.
21 Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
Lakini K'yara atolili kiapu bho ajobhili kuhusu Yesu, “Bwana alapili na ibetalepi kusanusya abhuasu gha muene.' bhebhe ndo kuhani milele.” (aiōn g165)
22 Kwa hili Yesu pia amekuja kuwa dhamana ya agano bora.
Kwa e'le Yesu kabhele ahidili kujha dhamana lya agano linofu.
23 Kwa hakika, kifo huzuia makuhani kuhudumu milele. Hii ni kwa sababu walikuwapo makuhani wengi, mmoja baada ya mwingine.
Kwa hakika, kifo kizuila makuhani kuhudumu milele. Ej'he kwandabha bhaj'hele makuhani bhamehele mmonga baada jha j'hongi.
24 Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
Lakini kwandabha Yesu iishi milele bhukuhani bhwa muene bhwikisanusya lepi. (aiōn g165)
25 Kwa hiyo yeye pia anaweza kwa ukamilifu kukamilisha kuwaokoa wanaomkaribia Mungu kupitia kwake, kwa kuwa yeye anaishi daima kwa kuomba kwa ajili yao.
Henu ni muene kabhele ibhwesya kwa ukamilifu kukamilisya kubhaokola bhabhakan'karibila K'yara kup'et'ela muene, kwa kujha muene iishi daima kwa kusoka kwa ndabha jha bhene.
26 Kwa hiyo kuhani mkuu wa namna hii anastahili kwetu. Asiye na dhambi, hatia, msafi, aliyetengwa kutoka kwa wenye dhambi, na amekuwa juu kuliko mbingu.
Henu kuhani mbaha ghwa namna ejhe dhambi hatia, n'nofu, j'haatengibhu kuhoma kwa bhenye dhambi, na ajhele panani kuliko mbingu.
27 Yeye hakuwa na uhitaji, mfano wa makuhani wakuu, kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa dhambi yake mwenyewe, na baadaye kwa dhambi za watu. Alifanya hivi mara moja kwa wote, alipojitoa yeye mwenyewe.
Muene ajhelepi ni bhuhitaji, mfano ghwa makuhani bhabhaha, kupisya dhabihu khila ligono, hoti kwa dhambi jha muene, ni baadajhe kwa dhambi sya bhanu. Abhombili naha mara jhimonga kwa bhoha, bho akihomisi muene.
28 Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Kwa sheria akabhasalanu bhadhaifu kujha makuhani bhabhaha, lakini lilobhi lya kiapu, lyalyahidili baada jha sheria, an'teuili Muana, jhaabhombiki kujha n'kamilifu milele. (aiōn g165)

< Wahebrania 7 >