< Wahebrania 7 >

1 Ilikuwa hivi Melkizedeki, mfalme wa Salemu, Kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwaua wafalme na akambariki.
Ai itulikile iti uMelkizedeki, mutemi nua Salemu, Kuhani nu ang'wa Itunda nukoli migulya, nai utankanile nu Abrahamu waze usukile kupuma kuabulaga i atemi nu kumukendepa.
2 Abrahamu alimpa moja ya kumi ya kila kitu alichokuwa amekiteka. Jina lake “Melkizedeki “maana yake” mfalme wa haki” na pia “mflame wa Salemu” ambayo ni “mfalme wa amani.”
uAbrahamu ai uminkiiye king'wi ni ki kumi nika kila kintu nai watulaa wakihola. Lina nilakwe Melkizedeki” ndogoelyo akwe “mutemi nua tai ane” ga ni hangi “mutemi nua Salemu” naiza ingi “mutemi nua ulyuuku.”
3 Hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku wala mwisho wa maisha yake. Badala yake, anabakia kuhani milele, kama mwana wa Mungu.
Mugila u tata, mugila nyinya, mugila aleli, mugila ng'wandyo nua luhiku ang'wi mpelo a likalo nulakwe. Badala akwe, ukusaga kuhani nua kali na kali, anga ng'wana wang'wa Itunda
4 Sasa fikiria jinsi huyu mtu alivyokuwa mkuu. Mzazi wetu Abrahamu alimpa moja ya kumi ya vitu vizuri alivyovichukua vitani.
Itungili siga kinya iti muntu uyu nai watula mukulu. Muleli witu uAbrahamu ai uminkiiye king'wi ni ki ikumi nika intu ni iziza nai uihoile mu wikui.
5 Na hakika, ukoo wa Walawi waliopokea ofisi za kikuhani walikuwa na amri kutoka kwenye sheria kukusanya moja ya kumi kutoka kwa watu, ambayo ni, kutoka kwa Wairaeli wenzao, pamoja na kwamba wao, pia, ni ukoo kutoka kwa Abrahamu.
Ni kulu kuulu, i ndugu ang'wa Lawi nai asingiiye i ofisi nia ki kuhani ai atuile ni lagiilyo kupuma mu malagiilyo kuhangulya king'wi mi ikumi kupuma ku antu, naiza ingi, kupuma ku aIsraeli auya, palung'wi ni kina i enso, ga, ingi ndugu kupuma kung'wa Abrahamu.
6 Lakini Melkizedeki, ambaye hakuwa wa ukoo kutoka kwa Walawi, alipokea moja ya kumi kutoka kwa Abrahamu, na akambariki, yeye aliyekuwa na ahadi.
Kuiti uMelkizedeki, naiza shanga ai wa ndugu kupuma kung'wa Lawi, ai usingiiye king'wi ni kikumi kupuma kung'wa Abrahamu, nu kumukendepa, nuanso nai ukete ilago.
7 Hapo haikataliwi kwamba mtu mdogo hubarikiwa na mkubwa.
Pang'wanso shanga ihitilwe kina u muntu nu muniino wikendepwa nu Mukulu.
8 Kwa jambo hili mtu apokeaye moja ya kumi atakufa siku moja, lakini kwa jambo jingine mmoja aliyepokea moja ya kumi kwa Abrahamu ikaelezwa kama anayeishi.
Ku ikani ili u muntu nuisingiilya king'wi ni ki kumi ukusha luhiku lung'wi, kuiti ku ikani lingiiza ung'wi nai usingiiye king'wi ni ki kumi kung'wa Abrahamu ikaganulwa anga nuikiie.
9 Na kwa namna ya kuzungumza, Lawi aliyepokea moja ya kumi, pia alilipa moja ya kumi kwa Abrahamu,
Nu ku mpyani a kutambula, uLawi ai usingiiye king'wi ni ki kumi, ai usukiiye ga ni king'wi ni kikumi kung'wa Abrahamu,
10 kwa sababu Lawi alikuwa katika viuno vya baba yake Abrahamu wakati Melkizedeki alipokutana na Abrahamu.
ku nsoko uLawi ai ukoli mu itundulu niang'wa Tata nuakwe uAbrahamu itungo uMelkizedeki nai uguganile nu Abrahamu.
11 Sasa kama ukamilifu uliwezekana kupitia ukuhani wa Lawi, (hivyo chini yake watu hupokea sheria), kulikuwa na hitaji gani zaidi kwa kuhani mwingine kuinuka baada ya mfumo wa Melkizedeki, na siyo kuitwa baada ya mpangilio wa Haruni?
Itungili anga ukondaniili ai uhumikile kukiila mu ukuhani nuang'wa Lawi, (itigwa pihi akwe antu isingiilya ilagiilyo), ai ikoli nsula ki ikilo kung'wa kuhani mungiiza kunyansuka ze yakilaa i ntendo ang'wa Melkizedeki, hangi shanga kitangwa ze yakilaa uzipiiligwa nuang'wa Haruni?
12 Kwa hiyo ukuhani ukibadilika, hapana budi sheria nayo kubadilika.
Ku lulo u ukuhani anga ukailike, kutili i nsoko ilagiilyo ni lyenso kukailika.
13 Kwa mmoja ambaye mambo haya yalisemwa kuhusu kabila jingine, kutoka kwake hakuna aliyehudumu madhabahuni.
Kung'wa ung'wi naiza i makani aya ai atambuwe kutula ndugu ingiiza, kupuma kitalakwe kutili nai witumie pa kizindaalo.
14 Sasa ni wazi kwamba Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila ambalo Musa hakutaja kuhusu makuhani.
Itungili ingi ng'walyi kina uMukulu nuitu ai upumiie mu uYuda, ndugu naiza uMusa shanga ai utee kutula akuhani.
15 Na haya tusemayo ni wazi hasa ikiwa kuhani mwingine atatokea kwa mfano wa Melkizedeki.
Hangi aya ni kuuligitya ingi kihenga lukulu anga itule u kuhani mungiiza wikapumila ku mpyani ang'wa Melkizedeki.
16 Kuhani huyu mpya siyo mmoja ambaye amekuwa kuhani juu ya msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mtu, lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyoweza kuharibika.
uKuhani uyu nu mupya shanga ug'wi naiza watulaa kuhani migulya a kitako ni ka magiilyo na akigendi nu utuugwa nua antu, kuiti mu kitako nika ngulu nia likalo ni shanga luhumikile kugazika.
17 Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Iti gwa u ukilisigwa uku kuiila kutula nuanso; “Uewe ingi wi kuhani kali na kali ze yakilaa i ntendo ang'wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
18 Kwa kuwa amri iliyotangulia iliwekwa pembeni kwa sababu ilikuwa dhaifu na haifai.
Ku nsoko ilagiilyo nai litongee ai liikilwe ku mpelo ku nsoko ai latulaa iementaalu hangi shanga lizipie.
19 Hivyo sheria haikufanya chochote kikamilifu. Isipokuwa, kulikuwa na ujasiri mzuri kwa hayo tunamsogelea Mungu.
Iti gwa ilagiilyo shanga ai kintu ki kondaniie, Kwaala, ai ukoli ukamatiku uziza ku nuanso kuu muhumbeela Itunda.
20 Na Ujasiri huu mzuri haukutokea pasipo kuzungumzia kiapo, kwa hili makuhani wengine hawakuchukua kiapo chochote.
Nu ukamatiku uwu nu uziza shanga ukupumila ze tile kuligitilya ilapo, ku ili i akuhani ni angiiza shanga ai ahoile ilapo lihi.
21 Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
Kuiti Itunda ai uhoile ilapo itungo nai uligitilye kutula uYesu, “Mukulu ulapile hangi shanga ukukaila i masigo akwe,' u ewe ingi wi kuhani i kali na kali.” (aiōn g165)
22 Kwa hili Yesu pia amekuja kuwa dhamana ya agano bora.
Ku ili ga nu Yesu uzile kutula wilihwa nu ilagiilyo nili bahu.
23 Kwa hakika, kifo huzuia makuhani kuhudumu milele. Hii ni kwa sababu walikuwapo makuhani wengi, mmoja baada ya mwingine.
Ku kulu kuulu, i nsha igilya i akuhani kuailyaa i kali na kali. Iyi ingi ku nsoko ai akoli i Akuhani idu, ung'wi ze kukilaa u muya.
24 Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
Kuiti ku nsoko uYesu wikii i kali na kali, u kuhani nuakwe shanga wikailika. (aiōn g165)
25 Kwa hiyo yeye pia anaweza kwa ukamilifu kukamilisha kuwaokoa wanaomkaribia Mungu kupitia kwake, kwa kuwa yeye anaishi daima kwa kuomba kwa ajili yao.
Ku lulo ga nu ng'wenso uhumikile kutula ukondaniili ku kondaniilya kuaguniilya nia kumuhumbeela Itunda kukiila kitalakwe, ku nsoko nuanso wikiie itungo lihi wazelompa ku nsoko ao.
26 Kwa hiyo kuhani mkuu wa namna hii anastahili kwetu. Asiye na dhambi, hatia, msafi, aliyetengwa kutoka kwa wenye dhambi, na amekuwa juu kuliko mbingu.
Ku lulo ukuhani nu mukulu nua mpyani iyi utakiwe kitaitu. Ni mugila u mulandu, igazo, ng'welu, nubaguwe kupuma ku anya milandu, hangi watulaa migulya kukila ilunde.
27 Yeye hakuwa na uhitaji, mfano wa makuhani wakuu, kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa dhambi yake mwenyewe, na baadaye kwa dhambi za watu. Alifanya hivi mara moja kwa wote, alipojitoa yeye mwenyewe.
Nuanso ai mugila anga nsula, mpyani a akuhani ni akulu, kupumya ipolya kila luhiku, hanza ku mulandu nuakwe mukola, ni panyambele ku milandu a antu. Ai witumile iti nkua ing'wi ku ihi, nai wipumilye u ng'wenso mukola.
28 Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Ku ilagiilyo wiaholaa antu nia nementaalu kutula akuhani ni akulu, kuiti lukani nu li lapo, nai luzile ze yakilaa ilagiilyo, ai umuhoile ung'wana, nai umuikile kutula mukaminkiilu i kali na kali. (aiōn g165)

< Wahebrania 7 >