< Wahebrania 6 >
1 Kwa hiyo, tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu, tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
Hinu, tigaleka pamuhana mawuliwu ga kutumbula kumvala Kilisitu, tihegelela kulongolo mu mawuliwu gegakangili, na lepi kuyendelela kuvika mkingisa ndava kulekana na matendu gangali mana, na kuuvala kumsadika Chapanga,
2 wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
mawuliwu kuuvala ubatizu na mawuliwu ga kuvikiwa mawoko na mawuliwu ga kuyuka na kuhamuliwa magono goha gangali mwishu. (aiōnios )
3 Na tutafanya hivi ikiwa Mungu ataruhusu.
Na ago yati tihenga Chapanga akaganayi.
4 Kwa kuwa haiwezekani kwa wale ambao waliipata nuru awali, ambao walionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu,
Ndava muni yinonopa kuvakita vandu vamuwuyila Chapanga kavili, vandu vala vevavi mu lumuli vamali kupokela chipanji cha kunani kwa Chapanga, vamali kumpokela Mpungu Msopi ngati vandu vangi,
5 na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
na kumyanga ubwina wa lilovi la Chapanga, na makakala ga mulima weubwela, (aiōn )
6 na kisha wakaanguka - haiwezekani kuwarejesha tena katika toba. Hii ni kwa sababu wamemsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, wakimfanya kuwa chombo cha dhihaka hadharani.
kangi vakuyileka sadika yavi, nakuhotoleka kuvakita venavo vamuwuyila Chapanga kangi. Venavo vakumvamba pamsalaba kavili Mwana wa Chapanga na kumpela soni pavandu.
7 Kwa kuwa ardhi iliyopokea mvua inyeshayo mara kwa mara juu yake, na ikatoa mazao muhimu kwa hao waliofanya kazi katika ardhi, hupokea baraka kutoka kwa Mungu.
Ndima yipokela fula yeyitonya pamahele, na yiwusa mabenu, gegakumpela chiyonjokesu mlimaji, mgunda wenuwo umotisiwi na Chapanga.
8 Lakini ikiwa huzaa miiba na magugu, haina tena thamani na ipo katika hatari ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuteketezwa.
Nambu mgunda weumelesa minga na matutu, wangali lihengu, papipi Chapanga kupewa likoto na Chapanga kangi kutinyiswa pa motu.
9 Ijapokuwa tunazungumza hivi, rafiki wapenzi, tunashawishiwa na mambo mazuri yawahusuyo ninyi na mambo yahusuyo wokovu.
Vankozi vitu, pamonga tijova chenichi, timanyi chakaka kuvya muvi na mambu gabwina neju, gegihuma mu usangula winu.
10 Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau kazi yenu na kwa upendo mliouonesha kwa ajili ya jina lake, katika hili mliwatumikia waamini na bado mngali mnawatumikia.
Ndava muni Chapanga ibuda lepi kuhamula lihengu linu na uganu wemlangisi ndava yaki namuna chamuvatangatili na chemwiyendelela kuvatangatila vandu vaki.
11 Na tunatamani sana kwamba kila mmoja wenu aweze kuonesha bidii ile ile mpaka mwisho kwa uhakika wa ujasiri.
Mnogo witu ndi kuvya kila mmonga winu alangisa ukangamala wulawula mbaka pa mwishu, muni mambu gala gemuhuvalila gahotola kutimila.
12 Hatutaki muwe wavivu, lakini muwe wafuasi wa wale warithio ahadi kwa sababu ya imani na uvumilivu.
Tiganili lepi mvya vakata, nambu muvayigila vala vevisadika na kusindimala muni mpokela gala geajovili Chapanga.
13 Kwa maana Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa nafsi yake, kwa kuwa asingeliapa kwa mwingine yeyote aliye mkubwa kuliko yeye.
Chapanga pealagini na Ibulahimu, muni kwavi lepi mkulu kuliku Chapanga alapili kwa kuhengela liina laki mwene,
14 Alisema, “Hakika nitakubariki, na nitauongeza uzao wako zaidi.”
Chapanga amlagili Ibulahimu, “Chakaka yati nikukumotisa na kukupela vana ngoo.”
15 Kwa njia hii, Abrahamu alipokea kile alichoahidiwa baada ya kusubiria kwa uvumilivu.
Ibulahimu alindili kwa usindimala kangi apokili chila chealagini Chapanga.
16 Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao, na kwao ukomo wa mashindano yote ni kiapo kwa kuyathibitisha.
Vandu pevilapa, vilapa kwa liina la mweavi mkulu kuliku vene na chilapu chilangisa kuvya chechijoviwi ndi chakaka, chilapu chitepulanisa ndindani yoha.
17 Wakati Mungu alipoamua kuonesha kwa uwazi zaidi kwa warithi wa ahadi kusudi lake zuri lisilobadilika, alilithibitisha kwa kiapo.
Ndava Chapanga aganili kuvalangisa hotohoto vala vevipokela lilagizu laki kwa kulapa, mu kukita chenicho alangisi vala veavikini nawu lilagizu kuvya katu ing'anamusa lepi cheigana.
18 Alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi tulioikimbilia hifadhi tupate kutiwa moyo kushikilia kwa nguvu tumaini lililowekwa mbele yetu.
Hinu, kuvi na vindu vivili, lilagizu na chilapu, vihotola lepi kung'anamuka mu vindu vyenivyo vivili Chapanga ihotola lepi kujova udese. Hinu tete vetijumbalili kwaki, tikangamaliswa mtima kukamulila neju huvalila lelivikiwi palongolo yitu.
19 Tunao ujasiri huu kama nanga imara na ya kutegemea ya roho zetu, ujasiri ambao unaingia sehemu ya ndani nyuma ya pazia.
Huvalila yeniyi ngati nanga muwumi witu. Huvalila yeniyi yiyimili na yivi makakala, liholota pagati ya lipazia, mbaka pandu Pamsopi neju, Munyumba ya Chapanga yeyivili kunani kwa Chapanga,
20 Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
Yesu mwene alongolili kuyingila mwenumo ndava yitu, na avi Mteta Mkulu magono goha gangali mwishu, kwa kulanda uteta wa Melikisedeki. (aiōn )