< Wahebrania 6 >
1 Kwa hiyo, tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu, tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
Přestaňme stále jenom ohledávat základy Kristova učení a usilujme postoupit dále. Nevracejme se pořád jenom k lítosti nad nesprávným jednáním, k víře v Boha,
2 wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
k učení o křtu, ke vkládání rukou, k učení o vzkříšení mrtvých a o věčném odsouzení. (aiōnios )
3 Na tutafanya hivi ikiwa Mungu ataruhusu.
Když Bůh dovolí, postupme k dalším věcem.
4 Kwa kuwa haiwezekani kwa wale ambao waliipata nuru awali, ambao walionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu,
Ten, kdo byl jednou osvícen, okusil Božího daru, získal podíl na Duchu svatém, poznal,
5 na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
jak vážná je Boží věc, zakusil moc přicházejícího světa, (aiōn )
6 na kisha wakaanguka - haiwezekani kuwarejesha tena katika toba. Hii ni kwa sababu wamemsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, wakimfanya kuwa chombo cha dhihaka hadharani.
a potom od Boha odpadl, nemůže se vrátit zpátky, protože veřejně potupil a znovu ukřižoval Božího Syna.
7 Kwa kuwa ardhi iliyopokea mvua inyeshayo mara kwa mara juu yake, na ikatoa mazao muhimu kwa hao waliofanya kazi katika ardhi, hupokea baraka kutoka kwa Mungu.
Země, která je často skrápěna deštěm a vydává těm, kdo ji obdělávají, hojnou úrodu, přijímá od Boha požehnání.
8 Lakini ikiwa huzaa miiba na magugu, haina tena thamani na ipo katika hatari ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuteketezwa.
Plodí-li však bodláky a trní, není vhodná k obdělávání, bude vypálena a ponechána svému osudu.
9 Ijapokuwa tunazungumza hivi, rafiki wapenzi, tunashawishiwa na mambo mazuri yawahusuyo ninyi na mambo yahusuyo wokovu.
I když říkám takové věci, milovaní, nemyslím, že by se týkaly vás. Jsem přesvědčen, že přinášíte dobré plody a spočíváte v Boží ochraně.
10 Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau kazi yenu na kwa upendo mliouonesha kwa ajili ya jina lake, katika hili mliwatumikia waamini na bado mngali mnawatumikia.
Bůh je spravedlivý, nezapomíná na vaši práci a věrnost jeho věci, na vaši minulou i přítomnou službu, kterou prokazujete těm, kteří jsou mu cele oddáni.
11 Na tunatamani sana kwamba kila mmoja wenu aweze kuonesha bidii ile ile mpaka mwisho kwa uhakika wa ujasiri.
Napomínám každého z vás k horlivosti. Nebuďte leniví a zachovejte si až do konce plnou naději.
12 Hatutaki muwe wavivu, lakini muwe wafuasi wa wale warithio ahadi kwa sababu ya imani na uvumilivu.
Nebuďte tupí. Řiďte se příkladem těch, kteří vírou a trpělivostí dosáhli splnění Božích slibů.
13 Kwa maana Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa nafsi yake, kwa kuwa asingeliapa kwa mwingine yeyote aliye mkubwa kuliko yeye.
Bůh dal Abrahamovi slib a chtěl ho potvrdit přísahou. A protože nemohl přísahat při nikom větším, přísahal při sobě, že bude Abrahama provázet svou přízní a že rozmnoží jeho rod.
14 Alisema, “Hakika nitakubariki, na nitauongeza uzao wako zaidi.”
15 Kwa njia hii, Abrahamu alipokea kile alichoahidiwa baada ya kusubiria kwa uvumilivu.
A Abraham svou trpělivostí skutečně dosáhl splnění tohoto slibu.
16 Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao, na kwao ukomo wa mashindano yote ni kiapo kwa kuyathibitisha.
Když se lidé přísahou dovolávají někoho mocnějšího, ukončují tím svůj spor.
17 Wakati Mungu alipoamua kuonesha kwa uwazi zaidi kwa warithi wa ahadi kusudi lake zuri lisilobadilika, alilithibitisha kwa kiapo.
Bůh dědicům zaslíbení svou přísahou nepochybně prokázal nezměnitelnost své vůle.
18 Alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi tulioikimbilia hifadhi tupate kutiwa moyo kushikilia kwa nguvu tumaini lililowekwa mbele yetu.
Protože je vyloučeno, aby Bůh lhal, můžeme se tedy neochvějně opírat jak o jeho slib, tak o jeho přísahu. Když jsme se k němu uchýlili, smíme čerpat mocné potěšení z nabízené naděje, které jsme se chopili.
19 Tunao ujasiri huu kama nanga imara na ya kutegemea ya roho zetu, ujasiri ambao unaingia sehemu ya ndani nyuma ya pazia.
Je to bezpečná a pevná kotva celé naší bytosti, která nás spojuje s Bohem,
20 Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
k němuž nás předešel Ježíš, který se stal navždycky knězem podle řádu Malkísedekova. Malkísedek je předobrazem Božího Syna, který je knězem navždycky. (aiōn )