< Wahebrania 6 >
1 Kwa hiyo, tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu, tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
Khritjan mawng akcük ngtheinak cun jah hawih hüt lü ngtheinak üng dämduh vaia malam da mi cit vai u. Akcük ngtheinaka kyakie Pamhnam jumnak,
2 wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
baptican mawng mtheinak ja kut mtaihnak; akthia thawhnak be ja angläta ngthumkhyahnake am käh mi tünei be vai u. (aiōnios )
3 Na tutafanya hivi ikiwa Mungu ataruhusu.
Malam da mi cit vai u! Pamhnam naw a täng ta ahin mi jah pawh vai u.
4 Kwa kuwa haiwezekani kwa wale ambao waliipata nuru awali, ambao walionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu,
Ami jumeinak hawihkie cun ihawkba ngjutcam law be khaie ni? Pamhnama kvai üng ve khawikie; Khankhawa dawnak pi mdep u lü Ngmüimkhya Ngcima bänak pi yahkie;
5 na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
Ami naw Pamhnama ngthu hin dawki tia pi ksing u lü pha law khaia johita kcün pi cayahkie ni. (aiōn )
6 na kisha wakaanguka - haiwezekani kuwarejesha tena katika toba. Hii ni kwa sababu wamemsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, wakimfanya kuwa chombo cha dhihaka hadharani.
Ami jumeinak hawihkie ni! Ngjutnak da ami law be tü vai am thawn khawh, isetiakyaküng Pamhnama Cakpa cun kutlamtunga taih be tü u lü khyang ksunga ani cun ngkeeisakie ni.
7 Kwa kuwa ardhi iliyopokea mvua inyeshayo mara kwa mara juu yake, na ikatoa mazao muhimu kwa hao waliofanya kazi katika ardhi, hupokea baraka kutoka kwa Mungu.
A khana kyakia khawk’a mjawnkia nglei cän Pamhnam naw dawnak pe lü sawnglinkiea phäh adung dämsaki cun acunea phäh summang phyaki ni.
8 Lakini ikiwa huzaa miiba na magugu, haina tena thamani na ipo katika hatari ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuteketezwa.
Nghlinge ja mphyawe ami luh law üng nglei hin ia am kyah; Pamhnam naw a yünce vai kyühei phya lü mei am mkhihnak kham khai ni.
9 Ijapokuwa tunazungumza hivi, rafiki wapenzi, tunashawishiwa na mambo mazuri yawahusuyo ninyi na mambo yahusuyo wokovu.
Ka püie, ahikba pyen üngpi nami jumnaka mawng ta kami ksing päng u ni. Daw bawkia dawkyanake nami küikyannak naw kanaki tia kami ksingki.
10 Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau kazi yenu na kwa upendo mliouonesha kwa ajili ya jina lake, katika hili mliwatumikia waamini na bado mngali mnawatumikia.
Pamhnam hin ngsung ve. Nami bia khut, nami kphyanak ani nami kpüi üng nami mdan ja khritjan akcee nami jah petmsawte cun am jah mhnih.
11 Na tunatamani sana kwamba kila mmoja wenu aweze kuonesha bidii ile ile mpaka mwisho kwa uhakika wa ujasiri.
Akdäma kami hlüei ta matcim naw akpäihnak veia nami mtuneinak am bi ua, acun üngva nami äpei cun akcanga pha law khai.
12 Hatutaki muwe wavivu, lakini muwe wafuasi wa wale warithio ahadi kwa sababu ya imani na uvumilivu.
Nami dam vai am hlüei u ngü, lüpi jumei u lü ami mlung msaükiea kba ve u lü Pamhnam naw a ning jah peta khyütam cän doei ua.
13 Kwa maana Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa nafsi yake, kwa kuwa asingeliapa kwa mwingine yeyote aliye mkubwa kuliko yeye.
Pamhnam naw Abraham khyütam a pet üng i khyütam ti cun ng'yünnak pawhki. Ania kthaka am däm bawkia kyase amäta ngming cun sumei lü ng'yünnak pawhki.
14 Alisema, “Hakika nitakubariki, na nitauongeza uzao wako zaidi.”
Ani naw, “Na mjükphyüi khawhah ning pe lü dawnak ka ning pet khai tia khyütam a pet,” tia a pyen.
15 Kwa njia hii, Abrahamu alipokea kile alichoahidiwa baada ya kusubiria kwa uvumilivu.
Abraham cun a mlung msaükia kyase Pamhnama khyütam cun yaheiki.
16 Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao, na kwao ukomo wa mashindano yote ni kiapo kwa kuyathibitisha.
Ng’yünnak mi pawh üng mimäta kthaka däm bawkia ngming matmat mi sumei üng ngcuhngkaihe avan hüpkie.
17 Wakati Mungu alipoamua kuonesha kwa uwazi zaidi kwa warithi wa ahadi kusudi lake zuri lisilobadilika, alilithibitisha kwa kiapo.
A khyütam yah khaie veia ania mkhüh itüha pi anghlai vai am täng lü a ngsing vai Pamhnam naw hlüeikia kyase a khyütama khana ng'yünnak a mkawp law sih.
18 Alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi tulioikimbilia hifadhi tupate kutiwa moyo kushikilia kwa nguvu tumaini lililowekwa mbele yetu.
Pamhnam käh hlei lü am a nghlainak theia mawng mjü nghngih veki. Ani am üpawmnak hmuhki mi kthamahkia kyase mi maa a jah tak peta äpeinak cun akceta mi kcüngei vai u.
19 Tunao ujasiri huu kama nanga imara na ya kutegemea ya roho zetu, ujasiri ambao unaingia sehemu ya ndani nyuma ya pazia.
Ahina äpeinak mi tak hin mi saka ngphuneinak mäi ni. Ahin hin üpawm lü cangki ni, ahin cun Khankhaw temple k'uma angcimnaka kalaka pi khe lü citki.
20 Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
Mi kcaha Jesuh cun mi maa acua cit lü Melkhihzadek ktaiyü a kya lawa kba angläta ktaiyü ngvai säiha thawnki ni. (aiōn )