< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
ย: กศฺจิตฺ มหายาชโก ภวติ ส มานวานำ มธฺยาตฺ นีต: สนฺ มานวานำ กฺฤต อีศฺวโรทฺเทศฺยวิษเย'รฺถต อุปหาราณำ ปาปารฺถกพลีนาญฺจ ทาน นิยุชฺยเตฯ
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
ส จาชฺญานำ ภฺรานฺตานาญฺจ โลกานำ ทุ: เขน ทุ: ขี ภวิตุํ ศกฺโนติ, ยโต เหโต: ส สฺวยมปิ เทารฺพฺพลฺยเวษฺฏิโต ภวติฯ
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
เอตสฺมาตฺ การณาจฺจ ยทฺวตฺ โลกานำ กฺฤเต ตทฺวทฺ อาตฺมกฺฤเต'ปิ ปาปารฺถกพลิทานํ เตน กรฺตฺตวฺยํฯ
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
ส โฆจฺจปท: เสฺวจฺฉาต: เกนาปิ น คฺฤหฺยเต กินฺตุ หาโรณ อิว ย อีศฺวเรณาหูยเต เตไนว คฺฤหฺยเตฯ
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
เอวมฺปฺรกาเรณ ขฺรีษฺโฏ'ปิ มหายาชกตฺวํ คฺรหีตุํ สฺวียเคารวํ สฺวยํ น กฺฤตวานฺ, กินฺตุ "มทียตนโย'สิ ตฺวมฺ อไทฺยว ชนิโต มเยติ" วาจํ ยสฺตํ ภาษิตวานฺ ส เอว ตสฺย เคารวํ กฺฤตวานฺฯ
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
ตทฺวทฺ อนฺยคีเต'ปีทมุกฺตํ, ตฺวํ มลฺกีเษทก: เศฺรณฺยำ ยาชโก'สิ สทาตน: ฯ (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
ส จ เทหวาสกาเล พหุกฺรนฺทเนนาศฺรุปาเตน จ มฺฤตฺยุต อุทฺธรเณ สมรฺถสฺย ปิตุ: สมีเป ปุน: ปุนรฺวินตึ ปฺรรฺถนาญฺจ กฺฤตฺวา ตตฺผลรูปิณีํ ศงฺกาโต รกฺษำ ปฺราปฺย จ
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
ยทฺยปิ ปุโตฺร'ภวตฺ ตถาปิ ไยรกฺลิศฺยต ไตราชฺญาคฺรหณมฺ อศิกฺษตฯ
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
อิตฺถํ สิทฺธีภูย นิชาชฺญาคฺราหิณำ สรฺเวฺวษามฺ อนนฺตปริตฺราณสฺย การณสฺวรูโป 'ภวตฺฯ (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
ตสฺมาตฺ ส มลฺกีเษทก: เศฺรณีภุกฺโต มหายาชก อีศฺวเรณาขฺยาต: ฯ
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
ตมธฺยสฺมากํ พหุกถา: กถยิตวฺยา: กินฺตุ ตา: สฺตพฺธกรฺไณ รฺยุษฺมาภิ รฺทุรฺคมฺยา: ฯ
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
ยโต ยูยํ ยทฺยปิ สมยสฺย ทีรฺฆตฺวาตฺ ศิกฺษกา ภวิตุมฺ อศกฺษฺยต ตถาปีศฺวรสฺย วากฺยานำ ยา ปฺรถมา วรฺณมาลา ตามธิ ศิกฺษาปฺราปฺติ รฺยุษฺมากํ ปุนราวศฺยกา ภวติ, ตถา กฐินทฺรเวฺย นหิ กินฺตุ ทุคฺเธ ยุษฺมากํ ปฺรโยชนมฺ อาเสฺตฯ
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
โย ทุคฺธปายี ส ศิศุเรเวติการณาตฺ ธรฺมฺมวาเกฺย ตตฺปโร นาสฺติฯ
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
กินฺตุ สทสทฺวิจาเร เยษำ เจตำสิ วฺยวหาเรณ ศิกฺษิตานิ ตาทฺฤศานำ สิทฺธโลกานำ กโฐรทฺรเวฺยษุ ปฺรโยชนมสฺติฯ

< Wahebrania 5 >