< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Każdy najwyższy kapłan jest człowiekiem wybieranym po to, aby reprezentować innych ludzi przed Bogiem. Dlatego w ich imieniu składa Bogu dary i ofiary za grzechy.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Kapłan, sam będąc słabym człowiekiem, potrafi zrozumieć innych ludzi, którzy są nieświadomi i błądzą.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
A składając ofiary, czyni to nie tylko za grzechy innych, ale i za własne.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Nie każdy jednak może być najwyższym kapłanem. Może nim zostać tylko ten, kto—podobnie jak Aaron—zostanie do tego powołany przez Boga.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Chrystus również nie przyznał sobie tej godności sam. Najwyższym kapłanem mianował Go bowiem sam Bóg, który powiedział do Niego: „Ty jesteś moim Synem, Ciebie dziś zrodziłem”.
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
W innym miejscu Pisma zwrócił się do Niego, mówiąc: „Jesteś kapłanem na wieki, na wzór Melchizedeka”. (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
Chrystus, będąc na ziemi, ze łzami w oczach głośno wołał do Boga, aby uratował Go od śmierci. I został wysłuchany—ze względu na swoje oddanie Bogu.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Chociaż był Synem Bożym, przez cierpienie nauczył się posłuszeństwa.
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
A gdy w pełni wykonał swoje dzieło, stał się źródłem wiecznego zbawienia dla wszystkich, którzy są Mu posłuszni. (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
Bóg zaś uczynił Go najwyższym kapłanem, na wzór Melchizedeka.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Moglibyśmy jeszcze wiele mówić na ten temat, problem jednak w tym, że wy nie chcecie słuchać.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Po tak długim czasie powinniście nauczać innych, a tymczasem to was nadal trzeba uczyć podstawowych prawd słowa Bożego. Jesteście jak niemowlęta, które potrzebują mleka i nie mogą jeszcze przyjmować normalnego pokarmu.
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Ten zaś, kto ciągle żywi się tylko mlekiem, jest jak małe dziecko, które nie wie, czym jest prawość.
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
Pokarm stały jest natomiast przeznaczony dla dorosłych, którzy nauczyli się już odróżniać dobro od zła.

< Wahebrania 5 >